Namlilia Julius Mtatiro...

Mtatiro ni kama Mrisho Ngasa achezee AFC Arusha. I know him he is potential. Hebu tuache majungu tumshauri kijana mwenzetu asome upepo na achukue the right track. Huko alipo he is lost.
 
nadhani kwa level ya perfomance ya uwaziri mkuu mlimani mtatiro ali-play big role kuliko mawaziri wakuu wengi japokuwa kila waziria likuwa na zama zake.

role ipi aliplay? Unasikisiki tu bwa shehe eh!?
 
Mtatiro ni kama Mrisho Ngasa achezee AFC Arusha. I know him he is potential. Hebu tuache majungu tumshauri kijana mwenzetu asome upepo na achukue the right track. Huko alipo he is lost.

Nafasi gani inapwaya huko mnataka sub? Au ndiyo mnatafuta mgombea mwenye mvuto zaidi 2015!? Mna tamaa nyie mara Sumaye tena sijui Mtatiro, yaani uslaaslaa tu...
 
Mimi naamini ni suala la muda tu mtatiro julius niliyesoma naye udsm najua iko siku atajoin wapambanaji wa kwel - chadema. Ni suala la muda tu.

Nahitaji kujua, Mtatiro nae ni Mujahidin? Kwa nini apate nafasi ya juu hivyo kwenye chama cha CUF?
 
Nahitaji kujua, Mtatiro nae ni Mujahidin? Kwa nini apate nafasi ya juu hivyo kwenye chama cha CUF?

Huyu si Mujahidina ila amewekwa pale ili apunguze angalau maneno ya watanzania hasa watanganyika kuwa CUF ni ya wapemba na mijahidina.
 
Mtatiro ana papara na jazba, ni mkururpukaji, hafai kwa lolote...anajaribu kutafuta umaarufu kwa nguvu tokea huko UDSM. huko CUF aliko panamtosha.
 
mtatiro ni kati ya viongozi wachache vijana wenye upeo mkubwa mno,
Ana uwezo mkubwa sana wa kupambana mazingira aliyomo, mie na wenzangu 700 pale udsm tuliokuwa under private sponsorship tuliwekwa kwenye mikopo kwa sbb ya juhudi za mtatiro,
Nakumbuka kuna siku tulikuwa naye kwa waziri mkuu-alimbana pm had kikaeleweka,
Wakati huo alikuwa waziri wa mikopo,baadaye akawa waziri mkuu na kisha katibu mkuu wa vyuo vikuu tanzania kabla ya kujiunga cuf na kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu na sheria na baada ya mwaka ,moja amekuwa naibu katibu mkuu wa cuf.
Mimi namtizama kwa jicho la msimamo sana,yeye ni role model kwa mtu ambaye si mnafiki,
Mtatiro amefika hapo alipo kwa sbb ya kutoyumbayumba,kama angehitaji fedha na umaarufu angekwenda cdm au ccm lakini kwa mrizamo wangu mtatiro ana roho ngumu,anapigania mafanikio atakayoleta na siyo ya kuletewa.
Na sidhani eti nafasi zote alizopitia amekuwa akibahatisha au kuzipata by chance,naamini anazipata kutokana na uwezo wake na nimeona kuna mchangiaji anasema alipokuwa high skul alikuwa kiongozi then amefika mliman pana wanafunz zaidi ya 20,000 wakamuamini na baadaye kuongoza vyup vikuu,
wakati akiongoza vyuo vikuu tukumbuke ndiyo enzi zilizokuwa na harakati za hali ya juu vyuoni,wakati tuliposhuhudia vyuo vikuu wakiandamana kushinikiza bei ya nauli na gharama za umeme zishushwe,ni wakati tuliposhuhudia maandamano kupinga uchakachuaji wa matokeo kenya na mauaji,hizi ni enzi ambazo mtatiro aliwaelekeza wanafunzi wa vyuo vikuu kupigania maslahi ya watanzania,
Na hata leo akiwa cuf tumeshuhudia moves zake nyingi-maandamano ya kupinga kuilipa dowans kwanza yalifanywa na mtatiro na chama chake kabla cdm hawajaanza,
Mapambano ya kupeleka rasimu ya katiba waliyoiandaa n.k.
So, mimi naona kama hapa jamvini watu wamekaa kishabiki mno lakini ukweli unabakia kuwa mtatiro ana uwezo mkubwa sana kupita vijana wengi walioko cdm na uwezo wake utasaidia sana kuiinua cuf.
Hongera mtatiro,hukohuko uliko tafuta ukombozi wa watz.

Saita-ke marmoboy .. sayu
.. Thread yako nimeipenda ila nilikuwa na-kaushauri kadogo.. sitaki kuongelea uongozi "maziwa" wa vyuo vikuu. Kuwa mtazamo wako ni kila kitu ndani yako, sikupingi, ila kuna jambo ambalo nadhani mwandishi wa thread hii linamtatiza hasa kutokana na uwazi kwamba CUF kuna mkanganyiko ambao hakuna anayeutolea ufafanuzi.. Embu ona.. Katibu mkuu wa CUF ni makamu wa kwanza wa rais Zanzibar.. af then CCM ni moja, ya bara ni ya Tanzania.. ona simple logic, kama CCM wakiwa na kikao na kumwalika Rais wa Zanzibar akifungue, na rais akawa na dharula je Makamu wake wa rais akitake over itakuwaje?? Halafu Umoja wao huo haupo kwenye katiba ya CCM wala ya CUF.. Mtatiro angekuwa makini angegangamaa kuondoa utata huo, na CUF kingekuwa chama madhubuti tena kama kilivyokuwa miongo miwili iliyopita.
sasa mwandishi wa thread anamwona Mtatiro kama mchezaji mpira mahiri anayechezea timu ya mtaaani..
 
Khaa!!n mmeanza tena madudu yenu ? Mtatiro umakini wa miaka ya nyuma si wa sasa .Kila kitu na wakati na sasa Mtatiro wakati umeisha na siasa za vyuoni japokuwa ndiyo mwanzo wa kufika huku lakini zile ni za vyuo huku ni halisi tofauti na huko.Kama angalikuwa Makini asingalithubutu kusimama na kuushambulia upinzani mkuu Bara nao ni Chadema .He is a looser and lost soul mwache azikwe huko huko .Sana sana ataingia CCM akatulie kama Maalim Seif
 
huyu si mujahidina ila amewekwa pale ili apunguze angalau maneno ya watanzania hasa watanganyika kuwa cuf ni ya wapemba na mijahidina.

cuf ya mujahidina na cdm ya maaskofu wa waraka.mtafurahi nikisema hivyo?.lengo la kwanza la chama cha siasa ni kushika dola na cuf imeshika dola halafu unasema mtatiro kapotea,si ujinga huu.mnataka ajiunge cdm apotee kabisa afadhali aje ccm .tunamkaribisha tutampa ubunge wa kuteuliwa kwanza halafu badae aende jimboni.
 
tujulishwe hayo mafaili ya siri ya cuf ili mtatiro awekwe wazi, mie namuunga mkono sana and because of that cuf.
But muhimu tuelezwe hizo siri za cuf.
Hii sehemu nliyoiweka rangi nyekundu sijakuelewa ulitaka kusema nini hasa, jaman tutumie tu lugha tunayoifahamu vizuri katika kuwasiliana. Lugha kama haitafikisha ujumbe kusudiwa, inakuwa ni barrier of communication.
 
Nahitaji kujua, Mtatiro nae ni Mujahidin? Kwa nini apate nafasi ya juu hivyo kwenye chama cha CUF?

Mkuu, na mimi napata tabu! Hivi mpaka uwe kiongozi wa kanisa ndio unapata nafasi ndani ya CDM!

Mifano hawa wachungaji, Mchungaji Peter Msingwa, Mchungaji Israel Natse, Padre Slaa, sasa hawa si wanawakilisha tu, sifa yao kubwa kuwa viongozi wa Kanisa. Mkuu hapa ni ngumu sana kutofautisha Kanisa na CDM
 
chama cha CUF ni chama kizuri kwani alipojiunga CUF, chadema siilikuwepo au kwa sababu ni mkristo? acheni udini wenu! mbona ZITTO yuko chadema na hatusemi kuwa kapotea? na CHADEMA NI CHAMA CHA WAKRISTO.
 
chama cha CUF ni chama kizuri kwani alipojiunga CUF, chadema siilikuwepo au kwa sababu ni mkristo? acheni udini wenu! mbona ZITTO yuko chadema na hatusemi kuwa kapotea? na CHADEMA NI CHAMA CHA WAKRISTO.
Nani kasema Mtatiro kujiunga na waislam kapotea? Mtatiro yupo kwenye chama cha Mujahidin cha wale answaar sunna. Waliopo Ccm ni wale wa Bakwata. Upinzani wa CUF na CCM ni ubakwata na uanswaar sunna tu mambo mengine yote wanafanana
 
Hata mimi nashangaa mtiririko wa Ma alhaji ndani ya CCM
Maalhaji wote wa Bakwata
Alhaji Kikwete
Alhaji Kinana
Alhaji Mwinyi
Alhaji Karume
Alhaji Bilal
Alhaji Shein
Hajat Hawa Ghasia
Hajat Mwantum Mahiza
Hajat Amina Mrisho Said:
Vp ccm ni chama cha msikitini mkuu?

Kweli mkuu tupo pamoja nakubaliana na wewe kila kitu na umenifumbua macho nashukuru sana.

Kwa hiyo tumepata CCM na chama cha Msikitini.

CUF ni chama cha Mujahidina.

CHADEMA ni cha Wakiristu na Kanisa.

Sisi WAPAGAN na tusiokuwa na vyama vya siasa tunasubiri Katiba mpya tupate wagombea binafsi
 
Kumbe hivi vyama vya siasa sio kwa kuwasaidia watanzania ni vyama vya kidini duu!

Masikini Tanzania yangu imezama kwenye udini sijui sisi tusiokuwa Waislama au Wakiristu, tutasaidiwa na nani? Watanzania wenzangu tuzinduke nchi wanataka kuigawana Magamba na Magwanda
 
Mtatiro plus Bush=strong DARUSO.wote wanafiki tu,si unajua ukitaka kupata nafasi unapomaliza chuo lazima uwakumbushe wakuu wa vyama harakati zako za kisiasa hasa chuoni,tumeyaona hayo bwana.Nakumbuka Bush-Daruso aliwai kutamka pale Rev. Square ..mkandara na maboko watanizika mbele ya administration...kamaliza chuo huyo yoo afisa mikopo wa wanafunzi udsm kanyweya.
Yawezekana mtatiro cdm walimnyima chance bwana ndo kasepa CUF...si unaona Silinde aliweza kuongoza migomo na cdm wakamuona na kumpa nafasi...Mtatiro yawezekana hakukubalika vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom