Kwa muonekano ni mnyamwezi hasaa Ila akifungua tu mdomo wake ni mzaramu wakutokea kule kwetu kisamvula cholee. Na kichwani ni mtupu hasa hili Ndio tatizo la wauza sura wetu wa kwenye video.
Itamsaidia mtoa mada au itakusaidia wewe?Funguka,naona kuna mambo umeyaficha hii itamsaidia mtoa mada kujua kiunagaubaga jinsi alivyo
Oh oo oo!!!TID anasema huyo mtu si salama sana kwa matumizi. Take care
Naona mnapenda sana petrol
mmh!
oke
Hata mimi namkubali
hahahahahahha Joseverest wewe humkubali hahahahaha
Hii inaitwa fuata mkumbo