Nalazimika kumuacha mchumba wangu, 'One Night Stand' imenisababishia mimba...

Kwa jina naitwa 'Surprise', ni msichana niliyechumbiwa na nilitegemea kufunga ndoa mnamo Mei 2013.

Kwa bahati mbaya au nzuri last week nimegundua ni mjamzito wa siku kadhaa ilhali mhusika akiwa si mchumba wangu bali ni rafiki yangu tunayefanya kazi ofisi jirani hapa mjini, kiukweli huyu alikuwa 'JUST A FRIEND' ila tukawa na mazoea ya karibu mno ikafikia siku ya siku tukiwa wawili (hata sijui kilichoendelea) tukajikuta tupo dunia nyingine iliyosababisha huu ujauzito.

Bahati nzuri huyu rafiki amesema yupo tayari kwa lolote na anaomba nimpe nafasi aweze kumlea mwanae akiwa na mimi as mke wake, nimemwambia naenda nyumbani kwanza kuwapa taarifa kisha nikirudi nimwambie yaliyojiri ili aanze michakato ya ndoa, na kishawaambia hadi kwao kuwa ataoa karibuni; anasubiri ruksa yangu.

Ki ukweli, mimi nilijua ni bahati mbaya kumbe kwake ilikuwa planned na ameniomba msamaha sababu alikuwa anatamani kufunga ndoa nami sema nilikuwa nimewahiwa na alinipenda muda mrefu ila alikuwa hajui aanzie wapi. Kwa kipindi nilichoishi naye kama rafiki amenipenda, amenijali sana labda awe amejivika ngozi ya kondoo.

Nilikuwa sina mipango wala mawazo ya kumsaliti mchumba wangu ila baada ya kugundua ni mjamzito nikawa na fikra mbili zilizonisababisha kuja kuomba ushauri:

1. As soon as possible bila kupoteza muda nimtafute mchumba wangu niweze kumtegeshea then after two weeks nimwambie mjamzito (of which he will be so happy) lakini nawaza what about LON GRUN? Ni kweli ataamini mimba ya mwezi mmoja kumwambia ni ya wiki 2? Tufanye hakuweza ng'amua hadi tukafunga ndoa na mtoto akazaliwa hafanani na yeyote, wapambe wamshauri DNA, si nitaumbuka mimi jamani!
2. Nianze mipango ya ndoa na baba mtoto halali then nivunje uchumba wa sasa. Hapa nawaza upande wa wazazi wangu, hiyo aibu wataibebaje? Naanzaje kuwaambia home wanielewe mie jamani wakati ukoo mzima unajua ni mchumba wa mtu, na wakinielewa hiyo mahari inarudishwaje? Nawaza upande wa wakwe watanionaje jamani?

Kiukweli tangu nipate hizi taarifa nimekwama, siwezi fanya lolote nahisi ntapata na magonjwa ya presha mwaka huu, nimepanga safari ya kwenda nyumbani lakini naogopa kwenda nahofia ntapokelewaje?

NSHAURINI JAMANI MWENZENU, nimekubali kosa siwakatazi kunilaumu ila naomba way forward ndio kitachonisaidia kwa mda huu.
N.B.

Nitafurahi kama hamtamshauri 'Surprise' bali kilichomo ndani ya ujumbe wangu maana ukimshauri 'Surprise' you might be biased

ucache kile ulichotaka maishan ghafla 2 kw kufata kile ulichotaman
 
Kwa jina naitwa 'Surprise', ni msichana niliyechumbiwa na nilitegemea kufunga ndoa mnamo Mei 2013.

Kwa bahati mbaya au nzuri last week nimegundua ni mjamzito wa siku kadhaa ilhali mhusika akiwa si mchumba wangu bali ni rafiki yangu tunayefanya kazi ofisi jirani hapa mjini, kiukweli huyu alikuwa 'JUST A FRIEND' ila tukawa na mazoea ya karibu mno ikafikia siku ya siku tukiwa wawili (hata sijui kilichoendelea) tukajikuta tupo dunia nyingine iliyosababisha huu ujauzito.

Bahati nzuri huyu rafiki amesema yupo tayari kwa lolote na anaomba nimpe nafasi aweze kumlea mwanae akiwa na mimi as mke wake, nimemwambia naenda nyumbani kwanza kuwapa taarifa kisha nikirudi nimwambie yaliyojiri ili aanze michakato ya ndoa, na kishawaambia hadi kwao kuwa ataoa karibuni; anasubiri ruksa yangu.

Ki ukweli, mimi nilijua ni bahati mbaya kumbe kwake ilikuwa planned na ameniomba msamaha sababu alikuwa anatamani kufunga ndoa nami sema nilikuwa nimewahiwa na alinipenda muda mrefu ila alikuwa hajui aanzie wapi. Kwa kipindi nilichoishi naye kama rafiki amenipenda, amenijali sana labda awe amejivika ngozi ya kondoo.

Nilikuwa sina mipango wala mawazo ya kumsaliti mchumba wangu ila baada ya kugundua ni mjamzito nikawa na fikra mbili zilizonisababisha kuja kuomba ushauri:

1. As soon as possible bila kupoteza muda nimtafute mchumba wangu niweze kumtegeshea then after two weeks nimwambie mjamzito (of which he will be so happy) lakini nawaza what about LON GRUN? Ni kweli ataamini mimba ya mwezi mmoja kumwambia ni ya wiki 2? Tufanye hakuweza ng'amua hadi tukafunga ndoa na mtoto akazaliwa hafanani na yeyote, wapambe wamshauri DNA, si nitaumbuka mimi jamani!
2. Nianze mipango ya ndoa na baba mtoto halali then nivunje uchumba wa sasa. Hapa nawaza upande wa wazazi wangu, hiyo aibu wataibebaje? Naanzaje kuwaambia home wanielewe mie jamani wakati ukoo mzima unajua ni mchumba wa mtu, na wakinielewa hiyo mahari inarudishwaje? Nawaza upande wa wakwe watanionaje jamani?

Kiukweli tangu nipate hizi taarifa nimekwama, siwezi fanya lolote nahisi ntapata na magonjwa ya presha mwaka huu, nimepanga safari ya kwenda nyumbani lakini naogopa kwenda nahofia ntapokelewaje?

NSHAURINI JAMANI MWENZENU, nimekubali kosa siwakatazi kunilaumu ila naomba way forward ndio kitachonisaidia kwa mda huu.
N.B.

Nitafurahi kama hamtamshauri 'Surprise' bali kilichomo ndani ya ujumbe wangu maana ukimshauri 'Surprise' you might be biased

Hakuna mimba hapo:
Unatuletea ujinga tu.
#tombwe mara moja mtu mzima unaejua siku zako halfu udai ua mimba; hicho ni kituko.
Hicho ni kituko kama jina lako Suprise.
Uzinzi @ com
 
Last edited by a moderator:
Yan matangazo yote haya ya kujikinga kwa kutumia angalau condoms watu hatuyatilii maanani!!
Tutakufa sana aisee!
 
olewa na baba mtoto mwaya kwan aibu kitu gani watu wanapata aibu kubwa kama kufumaniwa na wake na waume za watu na wanatembezwa barabr na maisha yanasonga wewe unaogopa aibu hyo
 
We binti fuata ushauri huu, kwani hakuna binadamu aliyemkamilifu, na ndoa hupangwa na Mungu, huyo Mchumba wako hakuwa chaguo la Mungu, Huyo mwenye mzigo wake ndiye mwenye maisha yako kwa sasa na baadaye, aibu ni jambo la kawaida. Yote kwa yote vunja uchumba, tafuta mahari ya watu irudishe. Kaishi na mzazi mwenzio mbali na eneo la watu wanaolifahamu hili. Wataongea watasahau yataisha, Wazazi ni watu wa kusamehe hasa Mama mshirikishe akuombee msamaha kwa wote. Ukiyafuata haya Nakutakia Maisha mema.
 
Umeshatoa mimba ngapi? Unawapenda wote 50/50? Chagua jibu sahihi hapo chini.....
1. Olewa na mwenye mimba aibu ndio gharama ya makosa yako...ya kutoa kavu kavu!
2. Mwambie mchumba ukweli kama kweli ameoza atakubali kulea mzigo wa watu...chances za yeye kukubali 19%...lakini ni chances uzuri akikataa unarudi kwa baba mtoto.....(best option).
3. M'bambikie tu kwa-sasa mtakuja ku-solve baada ya mtoto kuzaliwa, wakati huo atakuwa amekuoa atakubaliana na ukweli...lakini imani yake kwako itatoweka kabisa....
4. Kama kawaida ya wengi wenu...abortion....ila ujue unaua+unaweza usipate mimba tena+:shut-mouth:
 
Naanza kuwa makini na mchumba wangu asije nifanyia haya ya kubambikiwa. pole kama jina lako ni hilo nafikiri mwanao atakua surprise ++ ila pole kwa yaliyokukuta kazi ngumu sana hiyo
 
Suprise, mwambie ukweli mchumba wako na wazazi wako, jibu litapatikana baada ya kuwaambia, hapo hakuna muujiza wala ujanja.
 
Ndo maana hukua wewe, nachuja mie, nna akili zangu timamu, am not under 18,poleeee weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Sasa kama una akili zako mbona umekuja kuomba ushauri, watu wazima wanaongea kiutuuzima..... yamekushinda ndo maana umekimbilia huku!!!!!! Na ninakwambia huyo jamaa alokutia mimba hatokuoa kamwe hakuna mwanamume mp**zi dunia ya sasa, jiandae kwa machungu for the next time!!!!
 
Chukua maamuzi magumu katika maisha yako coz ukisema uolewe na huyo asiyehusika na hiyo mimba utakuja kupata mateso ya ajabu, maadam ulivua mwenyewe bila kulazimishwa usione aibu' aibu ungeziona ulivyokuwa unapata huo utam. Ukisema utoe mimba inaweza kukugarimu maisha yako yote' so kuwa makini chukua uamuzi wa kuolewa na huyo mwenye ujauzito ila kama anakupenda kweli'
 
Ukisema udanganyie mimba, mwenye nayo hatakubali atatoa tu siri, hata ingekua mimi nachoma utambi! Siwezi kubali damu yangu ilelewe na mwanaume mwenzangu.
 
sakapal wewe ni mkali,tafadhali nitabirie na mimi
yatakuja kukutokea puani siku moja haya maneno yako, usije sema sikuwa na nafasi ya kuolewa na niliyempenda kutoka moyoni. Hatari ya kuendeleza mahusiano na mchumba wako aliyekutolea mahari pia ipo hata ukiolewa na baba wa mtoto na hii italeta mtafaruku kwenye ndoa yako bila baba mtoto wako kujali kwamba yeye alikuiba kutoka kwa mchumba wako.

What if huyo mchumba wako akigoma kuwa hataki anakuoa wewe na mtoto ila hataki kumsikia huyo baba wa mtoto wako na hataki muendeleza mahusiano kumbuka utakuwa umemuharibia mipango yake mingi tu, nikuibie siri kwa mwanaume kufikia kukutolea mahari ameacha wengi ujue achilia wale matapeli wanaotoa mahari na kusepa.

Epukana na laana zinazoweza kukupata baada ya kufanya maamuzi magumu, kimila ukishatolewa mahari ni ndoa kamili na huyo anatambulika kuwa ni mumewako ilhali kabla hajalipa mahari uliulizwa kama mahari ipokelewe au ikataliwe. Kukubali kwako mahari itolewe ni ishara ya kumkubali kuwa huyo ni mumeo na sikuhizi ndo kunakuvishana pete sasa na pete ya watu unayo hata kama utaivua ila kama ongea na mchumba wako kwanza kabla hata ya mama yako na akikasirika na kuamua kukuacha wewe basi uatepukana na mambo ya laana kwani laana ya mume ipo kama ilivo laana ya mzazi au watoto. Kama mchumba wako ataumia ila atajikaza kisabuni kuendelea na wewe na huo ujauzito wako go for ur husband na si huyu anayekutoa kwa mume.

Another secret wanaume wanaokupata kwa kukutoa kwa mchumba wako au mumeo bila ya kuwa umegombana na mumeo/mchumba huwa wanakuja kukuacha solemba, huyu aliyekupa mimba hana lolote na wewe ni time passer na atakuchoka haraka hata akikuoa vitimbi vitakuwa kibao. Take my advise my young sister mimi binafsi yalishanitokea na mwisho wake ulikuwa kudondokea pua ila mie mahari ilikuwa bado.

Mwisho wa yote utakachoamua wajua weye, all the best na pole sana.
 
kwa sababu ulipenda kupigwa "paipu" mpaka kitu kikatokelezea basi kubali na kuolewa nae ili umalize utatala.
 
Jf bana.kumbe we ndo uliiba mume wa mtu! Kumbe na ndo maana roho haikuumi kushare mume loh!! Au Huyo unayeishi naye now ni yupi? Mh!! Wanawake wengine majanga!! Alaf mnasingiziaga bahat mbaya dhambi tuu!!
 
Jf bana.kumbe we ndo uliiba mume wa mtu! Kumbe na ndo maana roho haikuumi kushare mume loh!! Au Huyo unayeishi naye now ni yupi? Mh!! Wanawake wengine majanga!! Alaf mnasingiziaga bahat mbaya dhambi tuu!!

Anawachoresha tu watu....uongo uongo mtupu Kha...........

anadhani ukipost kitu hum JF huwa kinafutika!!!!!!!
 
Kwa jina naitwa 'Surprise', ni msichana niliyechumbiwa na nilitegemea kufunga ndoa mnamo Mei 2013.

Kwa bahati mbaya au nzuri last week nimegundua ni mjamzito wa siku kadhaa ilhali mhusika akiwa si mchumba wangu bali ni rafiki yangu tunayefanya kazi ofisi jirani hapa mjini, kiukweli huyu alikuwa 'JUST A FRIEND' ila tukawa na mazoea ya karibu mno ikafikia siku ya siku tukiwa wawili (hata sijui kilichoendelea) tukajikuta tupo dunia nyingine iliyosababisha huu ujauzito.

Bahati nzuri huyu rafiki amesema yupo tayari kwa lolote na anaomba nimpe nafasi aweze kumlea mwanae akiwa na mimi as mke wake, nimemwambia naenda nyumbani kwanza kuwapa taarifa kisha nikirudi nimwambie yaliyojiri ili aanze michakato ya ndoa, na kishawaambia hadi kwao kuwa ataoa karibuni; anasubiri ruksa yangu.

Ki ukweli, mimi nilijua ni bahati mbaya kumbe kwake ilikuwa planned na ameniomba msamaha sababu alikuwa anatamani kufunga ndoa nami sema nilikuwa nimewahiwa na alinipenda muda mrefu ila alikuwa hajui aanzie wapi. Kwa kipindi nilichoishi naye kama rafiki amenipenda, amenijali sana labda awe amejivika ngozi ya kondoo.

Nilikuwa sina mipango wala mawazo ya kumsaliti mchumba wangu ila baada ya kugundua ni mjamzito nikawa na fikra mbili zilizonisababisha kuja kuomba ushauri:

1. As soon as possible bila kupoteza muda nimtafute mchumba wangu niweze kumtegeshea then after two weeks nimwambie mjamzito (of which he will be so happy) lakini nawaza what about LON GRUN? Ni kweli ataamini mimba ya mwezi mmoja kumwambia ni ya wiki 2? Tufanye hakuweza ng'amua hadi tukafunga ndoa na mtoto akazaliwa hafanani na yeyote, wapambe wamshauri DNA, si nitaumbuka mimi jamani!
2. Nianze mipango ya ndoa na baba mtoto halali then nivunje uchumba wa sasa. Hapa nawaza upande wa wazazi wangu, hiyo aibu wataibebaje? Naanzaje kuwaambia home wanielewe mie jamani wakati ukoo mzima unajua ni mchumba wa mtu, na wakinielewa hiyo mahari inarudishwaje? Nawaza upande wa wakwe watanionaje jamani?

Kiukweli tangu nipate hizi taarifa nimekwama, siwezi fanya lolote nahisi ntapata na magonjwa ya presha mwaka huu, nimepanga safari ya kwenda nyumbani lakini naogopa kwenda nahofia ntapokelewaje?

NSHAURINI JAMANI MWENZENU, nimekubali kosa siwakatazi kunilaumu ila naomba way forward ndio kitachonisaidia kwa mda huu.
N.B.

Nitafurahi kama hamtamshauri 'Surprise' bali kilichomo ndani ya ujumbe wangu maana ukimshauri 'Surprise' you might be biased
user-offline.png
Suprise

Yesterday 14:56
#1
JF Senior Expert MemberArray


Join Date : 2nd November 2012
Posts : 1,918
Rep Power : 730
Likes Received780
Likes Given821


[h=2]
icon1.png
siogopi kushare mume ,naogopa HIV,[/h]
wazima wote,

Lets share true story. Kwa jina naitwa suprise, mama wa mtoto mmoja na mke ndani ya ndoa yenye miaka 2. Hivi karibuni, kiherehere cha kusoma sms za mume wangu zimenifanya nigundue ana mahusiano nje just kwa mtiririko wa simu na message wanazotumiana.

The usually meet na huwa wanapongezana kwa raha wanazopeana. Kilichonisukuma kuomba msaada hapa ni how to handle the situation coz sina hofu hata kidogo kushare hilo penzi najua ipo siku atachoka atarudi. Sasa katika hii waiting period nifanye nini maana nna hofu na kuletewa virusi n am nt sure kama anakumbuka kutumia kinga.

Nawaza nimwambie live kua najua yupo na mtu fulani na nimuombe atumie kinga. Pili nawaza nikae kimya ila nimuwekee pakiti za condom kadhaa kila atokapo asubuhi hop ataelewa nataka ajilinde. Au tatu niamue kutoshiriki nae kabisaaaaaaa hadi atakapoamua kusitisha ya nje tukapime tena au tutumie condom mke na mume.

Serias am comfused naomba ushauri​






"Hapa nashindwa kuelewa au unaandika Kitabu? Juzi umeomba ushauri mwingine na kudai umeolewa na leo unakuja na maengine ....msipende kupetezea muda watu kushauri upuuzi"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom