Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Vipi tena Hashy Umepata Kabinti ka kabila gani hako unatafuta mistari ya kukaambia unakapenda!!!
Kei te aroha au ki a koe.
in Maori
hahaha lol
mie tayari niko hapo my dear..
sema tu nikusikilize na mie nta kwambia maneno matamu hahah lol
nimepata hii picha yako dear
]Wewe lugha gani sasa hiyo??
wooow!welcome hooome!sasa maneno yangu ya upendo niliyokunong'oneza umeyapenda?af niitie dena nimtume
wooow!welcome hooome!sasa maneno yangu ya upendo niliyokunong'oneza umeyapenda?af niitie dena nimtume
hahaha lol ngoja nianzishe thread ya upendo lakini nimuombe
Dada yangu mkubwa Dena apunguze maneno makali kwanza hahah lol
pamoja sana!Ndikunogilwe (kikinga)
Wapi tena nimeharibu wewe mtoto.
hahahah lol
huku haribu kitu dada
bali ni kawaida yako tu kuwa mkali ..lol
kwa hiyo ntakuanzishia kitu nikuombe upunguze ukali hahahah lol
hiyo yote ni kwa ajili ya upendo hahahah lol
Beautiful Available but Unlovable!!!!!!!!!!!!!!Umesahau kabila langu au?? Hujui sie hata tukiongea kwa upole mtu anadhani umekasirika
hahaha lol ngoja nianzishe thread ya upendo lakini nimuombe
Dada yangu mkubwa Dena apunguze maneno makali kwanza hahah lol
Nimekuja longa mwanangu
Beautiful Available but Unlovable!!!!!!!!!!!!!!
Hebu njoo 108 fasta tuongee kuhusu unlovability yako!
Umesahau kabila langu au?? Hujui sie hata tukiongea kwa upole mtu anadhani umekasirika
ah!si nilikuita kule kny nywele za sirini?
hebu anzisha,na huyu dena nitampeleka mlimani ndo dawa