Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Jaman mie enzi za Bongoman ndio nilikua natambua mambo ya mziki,mama yangu alikua ananifunga kitamba kiunon na kunifundisha kukata mauno na mwendo wa kwasa kwasa lol!na mie wa enzi atiii!
Hujanishinda mm na mdogo wangu, inawekwa hapo chini sarafu ya sh 5 au ishiri ile ya mwinyi mnaambiwa atakae kata kiuno zaid ni yake, inaachiwa Inde..indee...indeee monieeeee weweeee!