johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,031
Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo amesema enzi zetu tulifundishwa somo la Siasa Primary hadi Secondary school kwahiyo tulielewa maana ya Siasa na wale walioamua kuwa Wanasiasa walifanya hivyo kwa dhati ya mioyo yao
Lakini vijana wa Leo ni Legelege wasiojua Wajibu Wao na Wanapenda kubembelezwa kwa kila jambo
Dorothy amesema hayo pale Chuo Kikuu cha DSM
Nakubaliana na Dorothy Semu kwa 100% na Vijana wa Leo Ndio hawa wanajiita CHAWA
Ramadan Kareem!
Lakini vijana wa Leo ni Legelege wasiojua Wajibu Wao na Wanapenda kubembelezwa kwa kila jambo
Dorothy amesema hayo pale Chuo Kikuu cha DSM
Nakubaliana na Dorothy Semu kwa 100% na Vijana wa Leo Ndio hawa wanajiita CHAWA
Ramadan Kareem!