Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Nilidhani watu wa kipato cha chini tumepatiwa mkombozi na voda com,
kumbe sio mkombozi ila ni malaika izraele mtoa roho aliye kuja kwa sura ya upole, upendo na tabasamu huku nyuma yake akiwa na silaha kali yenye kukuua kifo cha taratibu chenye makali na machungu yasiyomithilika.
Nimetumiwa vijisenti kama laki nne hivi , nilipoenda kuvidroo nimekatwa shilingi elfu saba,
jamani....
Hivi ni benki gani ya biashara yenye bank charges za juu kiasi hiki?
Je mamlaka zinazosimamia maswala ya fedha zimeshindwa kabisa kumshauri rostam azizi arekebishe tariff zake??
Kweli rostam kwa sasa ndiye baba wa taifa.
kumbe sio mkombozi ila ni malaika izraele mtoa roho aliye kuja kwa sura ya upole, upendo na tabasamu huku nyuma yake akiwa na silaha kali yenye kukuua kifo cha taratibu chenye makali na machungu yasiyomithilika.
Nimetumiwa vijisenti kama laki nne hivi , nilipoenda kuvidroo nimekatwa shilingi elfu saba,
jamani....
Hivi ni benki gani ya biashara yenye bank charges za juu kiasi hiki?
Je mamlaka zinazosimamia maswala ya fedha zimeshindwa kabisa kumshauri rostam azizi arekebishe tariff zake??
Kweli rostam kwa sasa ndiye baba wa taifa.