pascaldaudi
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 534
- 96
Hizo ni athari za ibilisi a.k.a shetani. Walio na roho wa kweli a.k.a roho mtakatifu, wenye kuishi maisha ya kumtumaini Yesu Kristu kuwa ni mwokozi wao, waliomkaribisha yeye na kufanya makao ndani yao, wanaoongozwa na roho wa kweli wa bwana, basi hawawezi kuonesha sehemu za maungo yao (wanawake) na wanaume hata kama wataona mtu kavaa ovyo kama thread basi huwa hawatamani wala kushawishika kwa lolote, hubaki 100% neutral. Na ni ngumu sana kuelewa hili fumbo kama mtu haja mpokea Yesu Kristu na kukubali kuwa njia pekee na yeye kummwagia roho mtakatifu. Mpokeeni Yesu Kristu mtaona mabadiliko!!