Alafu mkuu zaman hizo ndo zilikuwa nguo bora zaidi na zili2mika ipasavo. Dada zangu hapa kuna ki2 cha kujadili, hata kama zisingehamshwa hisi hasi bado sioni sababu inayo mfanya mvaaji aache nguo inayomsitiri na kukimbilia kipis, obviously wanalenga kuharas hisia za watazamaji!Lizzy,
Kwa dunia ya sasa, naweza kuvaa kama zamani (kama ulivyoeleza) na kwenda kanisani???