BioPsychologist
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 724
- 1,014
- Thread starter
- #21
Poa mkuuPm kwangu nikusupport mkuu, hongera Sana
Poa mkuuPm kwangu nikusupport mkuu, hongera Sana
Ahsante kwa maoni yako mkuu.Nyie ndio mliomua kuchagua UDSM hata kama kozi ulioyopangwa ni immature na haina dili kwa hapa kwetu.
ila mbona serikali imeajiri watu wengi ndani ya miaka hii 3 pale wizara ya afya wenye taaluma yako, kada yako ni mpya wizarani ila kwa sasa inapewa kipaumbele jaribu kuwa unatembelea Web ya utumishi
Karibu mkuu. PM iko wazi.Ww ndio mtu niliekuwa nakutafuta kwa muda mrefu, naomba nije private
Kuna kushinda na kushindwa chief. Mategemeo huwa either yaendane na uhalisia (ukweli) au yatofautiane. Kikubwa tia bidii.Swali, unatushauri nini sisi wanasimba ambao hatujachukua ubingwa wowote misimu miwili mfululizo
Tupe link ya chanel yakoNinayo ina subscribers 493 bado haijakidhi viwangu inatakiwa wafike 1000
Lakini mbona kuna mashirika mengi tu sema.kujuana kwingi mkuu.Hii kazi sio common Sana bongo labda ulaya.
Huku waganga, mitume na manabii wa uongo ndio wamechukua nafasi zenu wanapiga pesa hatari.
Kuwa mganga au mtume na Nabii utapata wateja wengi Sana utachanganya na fani yako utazikimbia pesa.
Link hapa hawakubali mkuu. Nakuja PM nikupe jina.Tupe link ya chanel yako
Ila ni kweli, nami namshauri ajiongeze kwa kusoma masomo ya bible, atakuwa vizuri katika kuhubiri, kwani atakuwa anacheza na akili za watu na kuwatabilia sana kutokana na elimu yake ya unasihiHii kazi sio common Sana bongo labda ulaya.
Huku waganga, mitume na manabii wa uongo ndio wamechukua nafasi zenu wanapiga pesa hatari.
Kuwa mganga au mtume na Nabii utapata wateja wengi Sana utachanganya na fani yako utazikimbia pesa.
Mkuu hii ni kweli?Ila ni kweli, nami namshauri ajiongeze kwa kusoma masomo ya bible, atakuwa vizuri katika kuhubiri, kwani atakuwa anacheza na akili za watu na kuwatabilia sana kutokana na elimu yake ya unasihi