Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

Habari zenu,

Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer services, umeme, uchumi wetu mdogo, na ndo fimbo wanayotumia kutudharau.

Jana jioni wakati tunapata dinner, nilikua na mkenya mdada, na watu wengine kutokea Sudan kusini na Rwanda. Jamani huyo mkenya akaanza kutukandia watanzania ooohh our cities are dirty, watanzania sijui hawajielewi, mara akienda saloon wadada wana gossip( na girls gossip everywhere) Akahamia kwa wadada wa Tanzania sijui tuna fake love. Tunajifanya kupenda mtu kwa kujifanya( actually hii ni hulka ya mtu na wanawake wengi wako hivi ambao pia si Tanzanians. )

Wakatukandia weee, baadae uzalendo ukanishinda nikawambia atleast sisi wakarimu compared to nyie Kenyans. Acha anze kusema bora wao na kwamba ukarimu wetu ni wa kufake. ( Jamani kweli Watanzania tunafake ukarimu toka lini?)

Baadae, ilibidi niseme no more negative stories about my country. Kama vipi siyo lazima kuishi hapa na kuna nchi kibao duniani za kuishi.

Kiukweli, nahisi kuwachukia moyoni.
Siku ingine uwe mbishi konki huku unamsuta.Sijaona sehemu kama ulimfokea na kumwambia aache ungedere!
 
MTU mweusi popote alipo is not a complete a human being

Isipokuwa wachache Sana hata hizo arguments zenu mnagombana husababishwa Ego self identity.

Kwamba dini Fulani ni bora
Au jinsia fulani ni bora
Au nchi fulani ni bora huu ni utoto Sana huwapata watu wenye EQ ndogo na low minded peoples
We were having dinner kwa amani and nikashangaa tunaanza kuandamwa from no where. But sikusema mengi, nilikua namwangalia alivyo na chuki kwetu.
 
Siku ingine uwe mbishi konki huku unamsuta.Sijaona sehemu kama ulimfokea na kumwambia aache ungedere!
Sikufokaa but badae nilikasirika nikawambia mnachanganya hulka ya mtu. Ilibidi nimuulize ina maana hakuna watu wenye tabia hizo huko Kenya.

Nikamwambia hata sisi Tanzanians hatuwakubali nyie cuz ya ujuaji wenu. Na please no more stories about my country. Mnaweza kurudi kwenu
 
Habari zenu,

Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer services, umeme, uchumi wetu mdogo, na ndo fimbo wanayotumia kutudharau.

Jana jioni wakati tunapata dinner, nilikua na mkenya mdada, na watu wengine kutokea Sudan kusini na Rwanda. Jamani huyo mkenya akaanza kutukandia watanzania ooohh our cities are dirty, watanzania sijui hawajielewi, mara akienda saloon wadada wana gossip( na girls gossip everywhere) Akahamia kwa wadada wa Tanzania sijui tuna fake love. Tunajifanya kupenda mtu kwa kujifanya( actually hii ni hulka ya mtu na wanawake wengi wako hivi ambao pia si Tanzanians. )

Wakatukandia weee, baadae uzalendo ukanishinda nikawambia atleast sisi wakarimu compared to nyie Kenyans. Acha anze kusema bora wao na kwamba ukarimu wetu ni wa kufake. ( Jamani kweli Watanzania tunafake ukarimu toka lini?)

Baadae, ilibidi niseme no more negative stories about my country. Kama vipi siyo lazima kuishi hapa na kuna nchi kibao duniani za kuishi.

Kiukweli, nahisi kuwachukia moyoni.
Kuna vitu vibaya vya kusema kuhusu nchi zote, na kuna vitu vizuri vya kusema kuhusu nchi zote.

Mara nyingine, maneno mabaya anayosema mtu, yanatuonesha zaidi huyo mtu alivyo, kuliko huo ubaya anaousema.

Kwenye fake love, Watanzania bado hatujawafikia Wakenya, ingawa tunawakimbilia siku hizi.

Fake love ya Wakenya ni ya kimataifa, Watanzania bado tunajifua kitaifa kwanza. Nakumbuka random trip to Nairobi 1997, picha linaanza mzungu kalizwa na mwanamke wa Kikenya club. Yuko nje analia katuma hela sana akutane na mwanamke, kamfuata mwanamke Kenya, mwanamke hajatokea.

Na hii ni kwa sababu ya kihistoria, Kenya imeukumbatia ubepari tangu uhuru, haikupitia Ujamaa. Katika ubepari, ni rahisi zaidi kufanya mapenzi ya pesa. Ujamaa wetu ulitufunza kuwa "utu wa mtu ni kazi, pesa ni matokeo".

Ukitaka kujua Wakenya wanawazimia Watanzania, nenda Kenya halafu angalia wanawake kwa wanaume wa Kenya wanavyowapapatikia Watanzania. Kenya mwanamme wa Tanzania anaweza kupata mwanamke kirahisi sana. Sasa, ingekuwa Watanzania tuna mapenzi fake zaidi yao, kwa nini wanatupenda hivyo?

Kwa hivyo, kwa point hiyo tu naona hiyo Mkenya ni muongo na alikuwa na nia ya kuwasema vibaya tu Watanzania.
 
We were having dinner kwa amani and nikashangaa tunaanza kuandamwa from no where. But sikusema mengi, nilikua namwangalia alivyo na chuki kwetu.


Kweli Ila hauna Emotions intelligence you know nothing on how to deals with negative people

That is way nimesema wewe na wakenya nyote mpo na Ego .

Maana Ego is self identity ndo pale MTU akiongea vibaya kuhusu kabila lako, dini ,nchi, au jinsia yako you get pain and being heart fainted.

Endeleeni kukua hizo argument hufanywa na low minded people , with low EQ .
 
Habari zenu,

Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer services, umeme, uchumi wetu mdogo, na ndo fimbo wanayotumia kutudharau.

Jana jioni wakati tunapata dinner, nilikua na mkenya mdada, na watu wengine kutokea Sudan kusini na Rwanda. Jamani huyo mkenya akaanza kutukandia watanzania ooohh our cities are dirty, watanzania sijui hawajielewi, mara akienda saloon wadada wana gossip( na girls gossip everywhere) Akahamia kwa wadada wa Tanzania sijui tuna fake love. Tunajifanya kupenda mtu kwa kujifanya( actually hii ni hulka ya mtu na wanawake wengi wako hivi ambao pia si Tanzanians. )

Wakatukandia weee, baadae uzalendo ukanishinda nikawambia atleast sisi wakarimu compared to nyie Kenyans. Acha anze kusema bora wao na kwamba ukarimu wetu ni wa kufake. ( Jamani kweli Watanzania tunafake ukarimu toka lini?)

Baadae, ilibidi niseme no more negative stories about my country. Kama vipi siyo lazima kuishi hapa na kuna nchi kibao duniani za kuishi.

Kiukweli, nahisi kuwachukia moyoni.
Hata kama uchukie ukweli umeambia.

Shikamoo dada, na habari za siku
 
Kweli Ila hauna Emotions intelligence you know nothing on how to deals with negative people

That is way nimesema wewe na wakenya nyote mpo na Ego .

Maana Ego is self identity ndo pale MTU akiongea vibaya kuhusu kabila lako, dini ,nchi, au jinsia yako you get pain and being heart fainted.

Endeleeni kukua hizo argument hufanywa na low minded people , with low EQ .
Sawa
 
Kuna vitu vibaya vya kusema kuhusu nchi zote, na kuna vitu vizuri vya kusema kuhusu nchi zote.

Mara nyingine, maneno mabaya anayosema mtu, yanatuonesha zaidi huyo mtu alivyo, kuliko huo ubaya anaousema.

Kwenye fake love, Watanzania bado hatujawafikia Wakenya, ingawa tunawakimbilia siku hizi.

Fake love ya Wakenya ni ya kimataifa, Watanzania bado tunajifua kitaifa kwanza. Nakumbuka random trip to Nairobi 1997, picha linaanza mzungu kalizwa na mwanamke wa Kikenya club. Yuko nje analia katuma hela sana akutane na mwanamke, kamfuata mwanamke Kenya, mwanamke hajatokea.

Na hii ni kwa sababubya kihistoria, Kenya imeukumbatia ubepari tangu uhuru, haikupitia Ujamaa. Katika ubepari, ni rahisi zaidi kufanya mapenzi ya oesa. Ujamaa wetu ulitufunza kuwa "utu wa mtu ni kazi, pesa ni matokeo".

Ukitaka kujua Wakenya wanawazimia Watanzania, nenda Kenya halafu angalia wanawake kwa wanaume wa Kenya wanavyowapapatikia Watanzania. Kenya mwanamme wa Tanzania anaweza kupata mwanamke kirahisi sana. Sasa, ingekuwa Watanzania tuna mapenzi fake zaidi yao, kwa nini wanatupenda hivyo?

Kwa hivyo, kwa point hiyo tu naona hiyo Mkenya ni muongo na alikuwa na nia ya kuwasema vibaya tu Watanzania.
Alinishangaza sana aise.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom