Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,556
- 2,999
habari wadau
Mimi ni kijana wa umri miaka 32, naishi DAR miaka yote hiyo nipo kwa wazazi na nimeoa ila bado sijazaa ndoa yangu bado changa ila natumai soon nitaitwa faza kabla stori haijawa ndefu niseme tu wiki hii nimekuwa na mawazo ya kuhama home hiovyo natarajia miezi 3 mbele niende kupanga japo fedha inanipiga chenga lakini nafsi inaniambia mafanikio yapo ukihama hivyo najitutumua wadau nianza kufanya maendeleo before 40.
Napokea ushauri.
Mimi ni kijana wa umri miaka 32, naishi DAR miaka yote hiyo nipo kwa wazazi na nimeoa ila bado sijazaa ndoa yangu bado changa ila natumai soon nitaitwa faza kabla stori haijawa ndefu niseme tu wiki hii nimekuwa na mawazo ya kuhama home hiovyo natarajia miezi 3 mbele niende kupanga japo fedha inanipiga chenga lakini nafsi inaniambia mafanikio yapo ukihama hivyo najitutumua wadau nianza kufanya maendeleo before 40.
Napokea ushauri.