Akina mamiito na Dadiito.
Nashindwa hata kupanga ratiba as am so ecited jamani. hebu nisaidieni.
kwa kuanzia natoka job saa saba.
Mwenye atakayenipa ratiba nzuri nitampa siri yangu.
mimi leo nina raha sana pia.....i love ijumaa.....
Kwa jinsi ulivyo huna haja ya kwenda saloon pitia pale B.bar au pale masaki karibu na sea cleef pata noah ya kutosha, mi nichkulie mishikaki tu, ukitoka nipitie hapa sinza nina wine na wisky kama kuna cha kuongeza utaniambia then tutachagua seheme yenye upepo mnana tuwakaribishe na wanachit chat wengine tubadilishane mawazo ikifika mida ya rumba tunachagua pa kutumbukia ikifika alfajiri kila mtu home kupumzika. unaonaje hiyo?
Jumatatu ni bora zaidi kuliko Ijumaa bila hela mfukoni
hiyo mishkaki anayokuchukulia......nani analipa....?
Kwa jinsi ulivyo huna haja ya kwenda saloon pitia pale B.bar au pale masaki karibu na sea cleef pata noah ya kutosha, mi nichkulie mishikaki tu, ukitoka nipitie hapa sinza nina wine na wisky kama kuna cha kuongeza utaniambia then tutachagua seheme yenye upepo mnana tuwakaribishe na wanachit chat wengine tubadilishane mawazo ikifika mida ya rumba tunachagua pa kutumbukia ikifika alfajiri kila mtu home kupumzika. unaonaje hiyo?
Akina mamiito na Dadiito.
Nashindwa hata kupanga ratiba as am so ecited jamani. hebu nisaidieni.
kwa kuanzia natoka job saa saba.
Mwenye atakayenipa ratiba nzuri nitampa siri yangu.
mmh umekuwa mtihani.. nimekisiaa naona sipati niPM ndio njia rahisiPlease call me 0713 26-800. Naomba U gues hiyo number ya kati kati. try from 0-9
mimi pia naipenda ijumaa sana, kazi mwisho saa sita then nikutupa shida chini na kunyanyua mikono kisha na ba...ba..banjuka tuuuu...tuuu
hiyo mishkaki anayokuchukulia......nani analipa....?
sijui nilikuonaga wapi vile. halafu wewe. ujue nakuogopa sana wewe