Naipenda Sana Ijumaa

vivian

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
1,749
1,000
Akina mamiito na Dadiito.

Nashindwa hata kupanga ratiba as am so ecited jamani. hebu nisaidieni.

kwa kuanzia natoka job saa saba.


Mwenye atakayenipa ratiba nzuri nitampa siri yangu.
 
Week end ndio imeanza hivyo sasa ukitoka kwa job kwanza unatipia sehemu yenye kaka yake kuku ya kuoka kisha unashushia na mbili za baridii, halafu unamtafuta waubani wako safari kujirusha!
 
Akina mamiito na Dadiito.

Nashindwa hata kupanga ratiba as am so ecited jamani. hebu nisaidieni.

kwa kuanzia natoka job saa saba.


Mwenye atakayenipa ratiba nzuri nitampa siri yangu.

Kwa jinsi ulivyo huna haja ya kwenda saloon pitia pale B.bar au pale masaki karibu na sea cleef pata noah ya kutosha, mi nichkulie mishikaki tu, ukitoka nipitie hapa sinza nina wine na wisky kama kuna cha kuongeza utaniambia then tutachagua seheme yenye upepo mnana tuwakaribishe na wanachit chat wengine tubadilishane mawazo ikifika mida ya rumba tunachagua pa kutumbukia ikifika alfajiri kila mtu home kupumzika. unaonaje hiyo?
 
Kwa jinsi ulivyo huna haja ya kwenda saloon pitia pale B.bar au pale masaki karibu na sea cleef pata noah ya kutosha, mi nichkulie mishikaki tu, ukitoka nipitie hapa sinza nina wine na wisky kama kuna cha kuongeza utaniambia then tutachagua seheme yenye upepo mnana tuwakaribishe na wanachit chat wengine tubadilishane mawazo ikifika mida ya rumba tunachagua pa kutumbukia ikifika alfajiri kila mtu home kupumzika. unaonaje hiyo?

hiyo mishkaki anayokuchukulia......nani analipa....?
 
Kwa jinsi ulivyo huna haja ya kwenda saloon pitia pale B.bar au pale masaki karibu na sea cleef pata noah ya kutosha, mi nichkulie mishikaki tu, ukitoka nipitie hapa sinza nina wine na wisky kama kuna cha kuongeza utaniambia then tutachagua seheme yenye upepo mnana tuwakaribishe na wanachit chat wengine tubadilishane mawazo ikifika mida ya rumba tunachagua pa kutumbukia ikifika alfajiri kila mtu home kupumzika. unaonaje hiyo?

Please call me 0713 26-800. Naomba U gues hiyo number ya kati kati. try from 0-9
 
mimi pia naipenda ijumaa sana, kazi mwisho saa sita then nikutupa shida chini na kunyanyua mikono kisha na ba...ba..banjuka tuuuu...tuuu
 
mimi pia naipenda ijumaa sana, kazi mwisho saa sita then nikutupa shida chini na kunyanyua mikono kisha na ba...ba..banjuka tuuuu...tuuu

huz, utaenda kubanjuka na nani leo make me nipo kwa hosp,kama vp njoo tukeshe tu huku hosp!
 
Back
Top Bottom