Naiomba serikali sikivu ya Rais Samia iongeze wiki moja kwenye ufungzuzi wa shule January 2022 mshahara utakuwa umetoka

HOPEfull

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
1,824
2,204
Kupanga ni kuchagua na maendeleo hayana vyama. Huu ni usemi maarufu alipenda kuutumia hayati John P. Magufuli mjeshi au jiwe mtu aliependa kuona kitu kinafanyika na kuonekana na sio hadithi.

Kama mnavyojua hizi sikukuu mbili ni balaa tupu. Christamass na mwaka mpya watu huwa wanajiachia kwelikweli na pia sio vibaya siku moja moja kusahau ugumu wa maisha haya yanayozidi kuwa magumu siku hadi siku.

Shule mwaka 2022 zitafunguliwa tarehe 17 January, haitakuwa vibaya sana kama serikali sikivu ya mama ikaongeza wiki moja ili kuwapa afueni wazazi labda watakuwa angalau wameshika chochote mkononi kwa ajili ya mahitaji ya watoto wao.

Maisha ni magumu jamani asikudanganye mtu.
 
Kupanga ni kuchagua na maendeleo hayana vyama.Huu ni usemi maarufu alipenda kuutumia hayati John P. Magufuli mjeshi au jiwe mtu aliependa kuona kitu kinafanyika na kuonekana na sio hadithi.
Kama mnavyojua hizi sikukuu mbili ni balaa tupu.Christamass na mwaka mpya watu huwa wanajiachia kwelikweli na pia sio vibaya siku moja moja kusahau ugumu wa maisha haya yanayozidi kuwa magumu siku hadi siku.
Shule mwaka 2022 zitafunguliwa tarehe 17 January,haitakuwa vibaya sana kama serikali sikivu ya mama ikaongeza wiki moja ili kuwapa afueni wazazi labda watakuwa angalau wameshika chochote mkononi kwa ajili ya mahitaji ya watoto wao.Maisha ni magumu jamani asikudanganye mtu.
Unaonaje wewe ukaenda/ ukapeleka mtoto shule wiki 1 baada ya shule kufunguliwa?
 
Back
Top Bottom