mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 473
- 1,450
Tunakaribia kupata report ya C.A.G, kwa aina ya serikali hii report itaonyesha madudu mengi , waliosababisha hayo madudu watahamishwa vituo vya kazi na kusamehewa na hata kuombwa msamaha.
Huku mimi nikiwa nalipa kodi milions of money, hili limekuwa likiniumiza sana yaani nalipa ili wakafurahie maisha wengine, hili linafanya nichukie sana report ya C.A.G huwa sielewi nini hasa lengo la hiyo report ni nini
Huku mimi nikiwa nalipa kodi milions of money, hili limekuwa likiniumiza sana yaani nalipa ili wakafurahie maisha wengine, hili linafanya nichukie sana report ya C.A.G huwa sielewi nini hasa lengo la hiyo report ni nini