Matope JF-Expert Member Apr 29, 2009 892 679 Jan 8, 2012 #1 Duh nimekuwa nikimfatilia huyu waziri kwa kweli anafanya kazi hana jina sana Serikalini lkn ni mchapa kazi sana!big up kaka endelea kuvumbua maovu!!!
Duh nimekuwa nikimfatilia huyu waziri kwa kweli anafanya kazi hana jina sana Serikalini lkn ni mchapa kazi sana!big up kaka endelea kuvumbua maovu!!!
Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,812 59,392 Jan 8, 2012 #2 WOW. . . Kumbe Aggrey Mwanri kawa naibu waziri? Hongera zake kwa kweli.
U ugaibuni Member Jan 5, 2012 15 9 Jan 8, 2012 #3 Kwa video ya tukio hilonenda kwenye Channel ya Ughaibuni.com [video]http://www.youtube.com/user/ugaibuni?feature=mhee[/video]
Kwa video ya tukio hilonenda kwenye Channel ya Ughaibuni.com [video]http://www.youtube.com/user/ugaibuni?feature=mhee[/video]