Mr.Ng'alla
Member
- Jun 9, 2012
- 10
- 0
Jamani wanajamii forum naombeni CV ya mheshimiwa mlugo, ninamashaka sana Elimu yake na uwezo wake kuongoza.Kwani kunasiku alikaririwa na vyombo vya habari akisema walimu hawastail kukopeshwa fedha na taasisi za fedha.kwani wamekuwa wakitoroka vipindi kukimbia madeni,wakati walimu hukatwa pesa zao kwenye mishahara moja kwa moja.NISAIDIENI JAMANI HIYO CV