Naibu Waziri Mkuu Dkt. Biteko: Nimeambiwa majukumu yangu ni Kufanya Coordination nami naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa!

Jafo alikuwa manii msanii na mwongo sana. Kuna wakati alisema wameajiri walimu elfu 13 kumbe hata elfu moja hawakufika. Waliweka majina ya waliopo kazini tayari halafu wakaziga na mapya elfu moja. Halafu ajira zilikuwa zinaangalia chama. Ukiwa ccm ilikuwa simple kupata

Uongo kwa wanasiasa ni kawaida sana. Ila tunasema kufatilia na kusimamia yaliyochini ya wizara yake. Ilifikia hadi watu tunamuona anafaa kua mtu mkubwa nchini zaidi ya uwaziri wa tamisemi. Leo hii binafsi ata sijui yuko wapi. Maana anajua mkubwa hatiki kufunikwa kwa utendaji anapenda kusifiwa tu kama binti wa kingoni na sifa ya kuwekewa sindano chini ya kitanda
 
Naibu Waziri mkuu mh Dr Dotto Biteko ameripoti Ofisi ya Waziri mkuu na kupokelewa na PM Kasim Majaliwa

Dkt. Biteko amesema atamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa na anaamini Kupata Ushirikiano wa kutosha kutoka kwa Mawaziri wakongwe na Wabobezi Prof Ndalichako na mh Mhagama

Nimeambiwa Kazi yangu ni my coordinate nami namshukuru mh Rais kwa uteuzi na naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa, amesema Biteko

Chanzo: Upendo TV

Nawatakia Dominica Njema 😄
"Nimeambiwa"!!
 
Uongo kwa wanasiasa ni kawaida sana. Ila tunasema kufatilia na kusimamia yaliyochini ya wizara yake. Ilifikia hadi watu tunamuona anafaa kua mtu mkubwa nchini zaidi ya uwaziri wa tamisemi. Leo hii binafsi ata sijui yuko wapi. Maana anajua mkubwa hatiki kufunikwa kwa utendaji anapenda kusifiwa tu kama binti wa kingoni na sifa ya kuwekewa sindano chini ya kitanda
Akiwekewa sindano inakuwaje?
 
Naibu wa PM na Waziri Kiongozi Zanzibar nani mkubwa kwa mwenzake unapopangwa misafara ya viongozi Wakuu wa serikali kuingia au kutoka uwanjani kwenye maadhimisho ya sherehe za kitaifa? Divide and rule kwenye uongozi katika ubora wake.
 
Teuzi ya huyu mtu bado sioni kama ina tatizo, ni matokeo ya uhuru usio na mipaka aliopewa Rais na Katiba ya 1977, hata kama majukumu yake hayafahamiki, lakini bado hilo haliwezi kuwa kosa la Rais, ni kosa la Katiba kutomuwekea Rais mipaka ya kutimiza majukumu yake.

Hata kama inaonekana kuna mkanganyiko wa kimajukumu kati ya PM na DPM, kwamba majukumu ya PM yapo kikatiba, wakati ya DPM amepewa na Rais, bado hilo sio kosa la Rais, ni kosa la Katiba kutoweka mipaka kwa Rais ili ajue teuzi zake na ofisi mpya anazoanzisha zinatakiwa kuanzia wapi, na kuishia wapi, bahati mbaya Katiba haijafanya hivyo.
Umeanza kuwacha utoto na kuingia utu uzima.
 
Naibu wa PM na Waziri Kiongozi Zanzibar nani mkubwa kwa mwenzake unapopangwa misafara ya viongozi Wakuu wa serikali kuingia au kutoka uwanjani kwenye maadhimisho ya sherehe za kitaifa? Divide and rule kwenye uongozi katika ubora wake.
Zanzibar haina Waziri Kiongozi 😂😂
 
Naibu Waziri mkuu mh Dr Dotto Biteko ameripoti Ofisi ya Waziri mkuu na kupokelewa na PM Kasim Majaliwa

Dkt. Biteko amesema atamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa na anaamini Kupata Ushirikiano wa kutosha kutoka kwa Mawaziri wakongwe na Wabobezi Prof Ndalichako na mh Mhagama

Nimeambiwa Kazi yangu ni my coordinate nami namshukuru mh Rais kwa uteuzi na naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa, amesema Biteko

Chanzo: Upendo TV

Nawatakia Dominica Njema
Hili ndio Tatizo la VYEO visivyo KIKATIBA utafanya kazi kwa MAELEKEZO ya mtu na sio KATIBA
 
Naibu Waziri mkuu mh Dr Dotto Biteko ameripoti Ofisi ya Waziri mkuu na kupokelewa na PM Kasim Majaliwa

Dkt. Biteko amesema atamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa na anaamini Kupata Ushirikiano wa kutosha kutoka kwa Mawaziri wakongwe na Wabobezi Prof Ndalichako na mh Mhagama

Nimeambiwa Kazi yangu ni my coordinate nami namshukuru mh Rais kwa uteuzi na naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa, amesema Biteko

Chanzo: Upendo TV

Nawatakia Dominica Njema 😄
Anafurahia kipato kimeongeza wala hakuna la maana atafanya
 
Teuzi ya huyu mtu bado sioni kama ina tatizo, ni matokeo ya uhuru usio na mipaka aliopewa Rais na Katiba ya 1977, hata kama majukumu yake hayafahamiki, lakini bado hilo haliwezi kuwa kosa la Rais, ni kosa la Katiba kutomuwekea Rais mipaka ya kutimiza majukumu yake.

Hata kama inaonekana kuna mkanganyiko wa kimajukumu kati ya PM na DPM, kwamba majukumu ya PM yapo kikatiba, wakati ya DPM amepewa na Rais, bado hilo sio kosa la Rais, ni kosa la Katiba kutoweka mipaka kwa Rais ili ajue teuzi zake na ofisi mpya anazoanzisha zinatakiwa kuanzia wapi, na kuishia wapi, bahati mbaya Katiba haijafanya hivyo.
Bahati mbaya Rais ndiyo katiba yaani yeye atakavyo amka siku hiyo basi
 
Uongo kwa wanasiasa ni kawaida sana. Ila tunasema kufatilia na kusimamia yaliyochini ya wizara yake. Ilifikia hadi watu tunamuona anafaa kua mtu mkubwa nchini zaidi ya uwaziri wa tamisemi. Leo hii binafsi ata sijui yuko wapi. Maana anajua mkubwa hatiki kufunikwa kwa utendaji anapenda kusifiwa tu kama binti wa kingoni na sifa ya kuwekewa sindano chini ya kitanda
Jafo katupwa Wizara ya Mazingira na Muungano!
 
Kufanya coordination si ilikuwa kazi aliyopewa Lukuvi wakati fulani au mimi sina kumbukumbu nzuri?. 😲
 
Naibu Waziri mkuu mh Dr Dotto Biteko ameripoti Ofisi ya Waziri mkuu na kupokelewa na PM Kasim Majaliwa

Dkt. Biteko amesema atamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa na anaamini Kupata Ushirikiano wa kutosha kutoka kwa Mawaziri wakongwe na Wabobezi Prof Ndalichako na mh Mhagama

Nimeambiwa Kazi yangu ni my coordinate nami namshukuru mh Rais kwa uteuzi na naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa, amesema Biteko

Chanzo: Upendo TV

Nawatakia Dominica Njema 😄
Dr. Biteko wasichokuambia wewe ndio unatakiwa kuwa PM ajaye na hiyo ndio pasi ya mwisho, wewe tu ndio unatakiwa kupasia nyavu. Manake ingekuwa sie tungenyoosha Majaliwa kachoka na mawazo mapya na ubunifu zaidi ndio Mama anataka.
Weka weledi na toka nje ya box kupata watendaji wazuri achana na wastaafu ongeza na sekta binafsi na upinzani kazi zitaenda.
 
Naibu Waziri mkuu mh Dr Dotto Biteko ameripoti Ofisi ya Waziri mkuu na kupokelewa na PM Kasim Majaliwa

Dkt. Biteko amesema atamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa na anaamini Kupata Ushirikiano wa kutosha kutoka kwa Mawaziri wakongwe na Wabobezi Prof Ndalichako na mh Mhagama

Nimeambiwa Kazi yangu ni my coordinate nami namshukuru mh Rais kwa uteuzi na naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa, amesema Biteko

Chanzo: Upendo TV

Nawatakia Dominica Njema 😄
Mheshimiwa Biteko apige kazi aachane na siasa za kwenye vyombo vya habari.
 
Yupo vizuri ila marafiki na watu wakaribu siyo wasafi na wanatumia cover ya kuwa nawe karibu. Ingawa kwa binadamu haikosekani lakini ni muhimu kuchukua tahadhari.
 
Back
Top Bottom