Naibu Waziri Mkuu Dkt. Biteko: Nimeambiwa majukumu yangu ni Kufanya Coordination nami naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,978
141,995
Naibu Waziri mkuu mh Dr Dotto Biteko ameripoti Ofisi ya Waziri mkuu na kupokelewa na PM Kasim Majaliwa

Dkt. Biteko amesema atamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa na anaamini Kupata Ushirikiano wa kutosha kutoka kwa Mawaziri wakongwe na Wabobezi Prof Ndalichako na mh Mhagama

Nimeambiwa Kazi yangu ni my coordinate nami namshukuru mh Rais kwa uteuzi na naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa, amesema Biteko

Chanzo: Upendo TV

Nawatakia Dominica Njema 😄
 
Naibu Waziri mkuu mh Dr Dotto Biteko ameripoti Ofisi ya Waziri mkuu na kupokelewa na PM Kasim Majaliwa

Dr Biteko amesema atamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa na anaamini Kupata Ushirikiano wa kutosha kutoka kwa Mawaziri wakongwe na Wabobezi Prof Ndalichako na mh Mhagama

Nimeambiwa Kazi yangu ni my coordinate nami namshukuru mh Rais kwa uteuzi na naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa, amesema Biteko

Source: Upendo TV

Nawatakia Dominica Njema 😄
Dr Biteko: Nimeambiwa majukumu yangu ni Kufanya Coordination na katiba inakutuma ufanye nini?
 

Attachments

  • 44FBC9FB-60B9-4AE2-87AD-9DC47AB5A346.jpeg
    44FBC9FB-60B9-4AE2-87AD-9DC47AB5A346.jpeg
    32.2 KB · Views: 5
Naibu Waziri mkuu mh Dr Dotto Biteko ameripoti Ofisi ya Waziri mkuu na kupokelewa na PM Kasim Majaliwa

Dr Biteko amesema atamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa na anaamini Kupata Ushirikiano wa kutosha kutoka kwa Mawaziri wakongwe na Wabobezi Prof Ndalichako na mh Mhagama

Nimeambiwa Kazi yangu ni my coordinate nami namshukuru mh Rais kwa uteuzi na naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa, amesema Biteko

Source: Upendo TV

Nawatakia Dominica Njema
Kama hukupigwa ule moshi wa Ruangwa nimekaa pale
 
Kwamba Kassim amefeli kwenye coordination..? Yeye si ndio amemfelisha kassim na mawaziri wote smart ili wasimfunike..awape makali wapige kazi aone kama atasikika japo sifa zitamrudia yeye..ila hilo halijui sababu ye anawaza urais 2025 tu hadi amepata upofu wa upeo.

Zamani tuliona mawaziri wakishindana kukimbizana na kuisimamia miradi ya serikali na kutoa updates kwa kila hatua..walitupa viwango vya thamani na thamani ya fedha kwa miradi hiyo..muda mwingi walikuwa field na tulitambua ummy leo yupo wapi, biteko yupo wapi, kalemani yupo mkoa gani na wengine..leo mi hata simjui waziri wa elimu, waziri wa mali asili na utalii, waziri wa viwanda na biashara..sijui hata wanachofanya.
 
Kwamba Kassim amefeli kwenye coordination..? Yeye si ndio amemfelisha kassim na mawaziri wote smart ili wasimfunike..awape makali wapige kazi aone kama atasikika japo sifa zitamrudia yeye..ila hilo halijui sababu ye anawaza urais 2025 tu hadi amepata upofu wa upeo.

Zamani tuliona mawaziri wakishindana kukimbizana na kuisimamia miradi ya serikali na kutoa updates kwa kila hatua..walitupa viwango vya thamani na thamani ya fedha kwa miradi hiyo..muda mwingi walikuwa field na tulitambua ummy leo yupo wapi, biteko yupo wapi, kalemani yupo mkoa gani na wengine..leo mi hata simjui waziri wa elimu, waziri wa mali asili na utalii, waziri wa viwanda na biashara..sijui hata wanachofanya.

Jafo alikua anakimbiza tamisemi. Lakini kwa sasa ata haijulikani kama bado ni waziri sehemu. Labda mchengelwa asiye na adabu ya kumuonyesha kifua chake mamkwe ndo anajitahidi kwa kubebwa kila anakokwenda
 
Jafo alikua anakimbiza tamisemi. Lakini kwa sasa ata haijulikani kama bado ni waziri sehemu. Labda mchengelwa asiye na adabu ya kumuonyesha kifua chake mamkwe ndo anajitahidi kwa kubebwa kila anakokwenda
Jafo alikuwa manii msanii na mwongo sana. Kuna wakati alisema wameajiri walimu elfu 13 kumbe hata elfu moja hawakufika. Waliweka majina ya waliopo kazini tayari halafu wakaziga na mapya elfu moja. Halafu ajira zilikuwa zinaangalia chama. Ukiwa ccm ilikuwa simple kupata
 
Teuzi ya huyu mtu bado sioni kama ina tatizo, ni matokeo ya uhuru usio na mipaka aliopewa Rais na Katiba ya 1977, hata kama majukumu yake hayafahamiki, lakini bado hilo haliwezi kuwa kosa la Rais, ni kosa la Katiba kutomuwekea Rais mipaka ya kutimiza majukumu yake.

Hata kama inaonekana kuna mkanganyiko wa kimajukumu kati ya PM na DPM, kwamba majukumu ya PM yapo kikatiba, wakati ya DPM amepewa na Rais, bado hilo sio kosa la Rais, ni kosa la Katiba kutoweka mipaka kwa Rais ili ajue teuzi zake na ofisi mpya anazoanzisha zinatakiwa kuanzia wapi, na kuishia wapi, bahati mbaya Katiba haijafanya hivyo.
 
Naibu Waziri mkuu mh Dr Dotto Biteko ameripoti Ofisi ya Waziri mkuu na kupokelewa na PM Kasim Majaliwa

Dkt. Biteko amesema atamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa na anaamini Kupata Ushirikiano wa kutosha kutoka kwa Mawaziri wakongwe na Wabobezi Prof Ndalichako na mh Mhagama

Nimeambiwa Kazi yangu ni my coordinate nami namshukuru mh Rais kwa uteuzi na naahidi nitamsaidia Waziri mkuu kwa Uaminifu mkubwa, amesema Biteko

Chanzo: Upendo TV

Nawatakia Dominica Njema 😄
Naye atakuwa akisafishiwa njia kwa ving'ora vya TPF?
 
Back
Top Bottom