Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
hiyo damu inayoonekana kwenye kichwa cha mhe naibu waziri ni ya dereva wake...yeye hajapata jeraha lolote
naibu waziri aliyepata ajali
Very interesting comment there...A Zanzibari in Cashewnuts board for Tanganyikan's growers..let me think.Nilikuwa sijui yeye ni Naibu Waziri. In fact nabisha kwamba yeye ni naibu waziri. How could I have missed it.? [Au labda kwa vile alikuwa too busy anafanya ufisadi katika bodi ya korosho,hakusikika kama naibu waziri]
Nini sababu ya ajali?
Naombeni asitibiwe jamani hata kwa pesa nitatoa ili asitibiwe
malipo ni hapa hapa!
vasco naye angepata ajali kidogo, mwe! Aone tumbi palivyo before kupelekwa viwanja! Pole zao lakini!
bora angekufa! Damu za watu zimeanza kuandama!
Nini sababu ya ajali?