nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Hii Adam Malima anazidi kujiabisha
iweje pete zote zivuliwe kwenye vidole vyake na kuibiwa?
Je pete alikuwa amaziacha chumbani?
Ndugu Mtanganyika Ulisoma habari yote? tafadhali rudia kuisoma tena utapata hilo jibu; tujaribu kuwa wasomi kidogo tuache kudandia habari na kuziweka humu jamvini - tutaishushia hadhi JAMII FORUM