ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Habari zilizopatikana sasa hivi zinasema Naibu Waziri Adamu Malima ameibiwa kila kitu ktk hoteli ya Loshera mjini Morogoro. Hadi sasa bado yuko ndani ya chumba cha hiyo hoteli hajatoka nje. Inasemekana hata nguo alizoavaa amesaidiwa tu na wasamaria wema.
Yaleyale ya mawaziri kuendelea kuumbuka ugenini!
Manjagu bado yanafuatilia issue hii nzima!
Source: Radio One, muda 13:14 pm
Hoteli yenyewe ndio hii hapa kama inavyoonekana
View attachment 48953
Hii hapa tena
View attachment 48954
kwa mlinzi getini
View attachment 48955
mbona dirisha lenyewe,halionekani kuvunjwa au forced entry?? au sio lenyewe??? nimeitoa kwa michuzi loh
Yaleyale ya mawaziri kuendelea kuumbuka ugenini!
Manjagu bado yanafuatilia issue hii nzima!
Source: Radio One, muda 13:14 pm
Hoteli yenyewe ndio hii hapa kama inavyoonekana
View attachment 48953
Hii hapa tena
View attachment 48954
kwa mlinzi getini
View attachment 48955