BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,510
- 8,401
NAIBU Spika Mussa Azan Zungu ameitaka serikali kupitia Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kudhibiti kelele hasa za muziki katika makazi ya watu ambazo zimegeuka kero kwa wakazi.
“Wazee wengi wanateseka na makelele ambayo hayana udhibiti (control). Tuwaombe NEMC mchukue hatua mtoe adhabu kali kwa watu wanaopiga makelele hasa ya muziki,” amesema wakati akiahirisha kikao cha Bunge leo Aprili 24, 2023.
“Wazee wengi wanateseka na makelele ambayo hayana udhibiti (control). Tuwaombe NEMC mchukue hatua mtoe adhabu kali kwa watu wanaopiga makelele hasa ya muziki,” amesema wakati akiahirisha kikao cha Bunge leo Aprili 24, 2023.