The Great Genius
Member
- Apr 23, 2012
- 40
- 11
1. Tusiwe na wakuu wa wilaya. Na ikiwa watakuwepo, wapitie ktk chakato wa kura. Wachaguliwe na wananchi.
2. Tuwe na wagombea binafsi.
3. Mawaziri wasitokane na wabunge.
4. Tusiwe na wabunge wa viti maalum.
5. Rais akituhumiwa kujihusisha na makosa, ashitakiwe mahakamani.Ama akiwepo madarakani au anapokuwamestaafu.
6...
7...
8...
Na wengine muendelee na mawazo yenu.
2. Tuwe na wagombea binafsi.
3. Mawaziri wasitokane na wabunge.
4. Tusiwe na wabunge wa viti maalum.
5. Rais akituhumiwa kujihusisha na makosa, ashitakiwe mahakamani.Ama akiwepo madarakani au anapokuwamestaafu.
6...
7...
8...
Na wengine muendelee na mawazo yenu.