DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 1,487
- 2,739
Hello wakuu nahitaji viatu vya shule pair 300 vya bei nafuu Kwa kituo Cha kulelea watoto yatima nataka nikatoe msaada. Bajeti yangu Kwa Pair Moja ni 10k naomba anayejua chimbo aniunganishe. Mm PM yangu siwezi ku access labda unitumie hapa location au namba nitakutafuta.
Nahitaji Kwa kesho au keshokutwa. Biwe vyeusi. Mm Niko DSM ila had Jumatano nitaondoka nataka nivipeleke mkoan Kilimanjaro.
Nahitaji Kwa kesho au keshokutwa. Biwe vyeusi. Mm Niko DSM ila had Jumatano nitaondoka nataka nivipeleke mkoan Kilimanjaro.