witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,105
Shost , ukiona mwanaume anakulilia hivyo, Mara unabadili namba yy yumo, unamwambia mi sikutaki hasikii lolote ujue yamemkuta! ( naongea haya nikiwa among the victim)hebu jaribuu kumsikiliza mwaya..wala we sio last option kama wadau walivyosema, kakumbuka wema wako na maisha mema mliyoishi pamoja! na itakuwa anajuta kinoma noma huko aliko sema hawezi kujishusha kivile si mwanaume?
My dear ushauri wangu tu kwako msamehe kutoka rohoni, vile vile mrudie yaani mpe last chance, na muonyeshe kuwa bado unampenda yaani sasa ( kwake ni full kuumbuka tu)...narudia tena rudiana nae coz inaonekana dunia ishamfunza, wenzio yametukuta zaidi ya haya ya kwako, tukasamehe now tunaenjoy life na tuwapendao!
A serious Note: check afya kabla ya kuduu nae ( make sure you accomplish 6 months baada ya kupima kila miezi 3)
Goodnight!
My dear ushauri wangu tu kwako msamehe kutoka rohoni, vile vile mrudie yaani mpe last chance, na muonyeshe kuwa bado unampenda yaani sasa ( kwake ni full kuumbuka tu)...narudia tena rudiana nae coz inaonekana dunia ishamfunza, wenzio yametukuta zaidi ya haya ya kwako, tukasamehe now tunaenjoy life na tuwapendao!
A serious Note: check afya kabla ya kuduu nae ( make sure you accomplish 6 months baada ya kupima kila miezi 3)
Goodnight!