Adinan Abdul
New Member
- Nov 14, 2016
- 2
- 0
Nina mzigo kutoka Lusaka kwenda Dar. Natafuta gari ya kuusafirisha kama Loose Cargo.
Uzito: Tani 2.5
Ujazo: Kama nusu ya Ujazo wa Canter
Aina ya mali: Bomba za mpira za 1/2" zilizoviringishwa kwenye mduara. Mfano wa bomba za kumwagilia bustanini zikiwa hazijafungiliwa.
Mawasiliano: 0677 055 660
Uzito: Tani 2.5
Ujazo: Kama nusu ya Ujazo wa Canter
Aina ya mali: Bomba za mpira za 1/2" zilizoviringishwa kwenye mduara. Mfano wa bomba za kumwagilia bustanini zikiwa hazijafungiliwa.
Mawasiliano: 0677 055 660