Nahitaji Usafiri wa Lusaka-Dar

Adinan Abdul

New Member
Nov 14, 2016
2
0
Nina mzigo kutoka Lusaka kwenda Dar. Natafuta gari ya kuusafirisha kama Loose Cargo.
Uzito: Tani 2.5
Ujazo: Kama nusu ya Ujazo wa Canter
Aina ya mali: Bomba za mpira za 1/2" zilizoviringishwa kwenye mduara. Mfano wa bomba za kumwagilia bustanini zikiwa hazijafungiliwa.
Mawasiliano: 0677 055 660
 
Nina mzigo kutoka Lusaka kwenda Dar. Natafuta gari ya kuusafirisha kama Loose Cargo.
Uzito: Tani 2.5
Ujazo: Kama nusu ya Ujazo wa Canter
Aina ya mali: Bomba za mpira za 1/2" zilizoviringishwa kwenye mduara. Mfano wa bomba za kumwagilia bustanini zikiwa hazijafungiliwa.
Mawasiliano: 0677 055 660
Nikupeleke Ilala mm gari za Kongo pale mtaa wa Lindi
 
Sijaelewa vizuri hapo mkuu, kama hautojali nicheck whatsapp au direct call kwa namba hii 0677 055 660
 
Back
Top Bottom