Mpendasifa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 277
- 110
Wakuu nahitaji kununua simu tajwa hapo juu, iwe ni orijino na mpya bajeti yangu ni laki 6 (Tshs.600,000/=). Mwenye nayo anipm namba yake tufanye biashara.
Mchina au original ?
Wakuu nahitaji kununua simu tajwa hapo juu, iwe ni orijino na mpya bajeti yangu ni laki 6 (Tshs.600,000/=). Mwenye nayo anipm namba yake tufanye biashara.
Naweza kukupatia mpya kwa 820,000/- tu.
Nakulipa laki 2 halafu iliyobaki na kulipa laki laki mpaka ikamilike 6zipo s4 mpya kabisa na all accessories kwa sh. 600,000/= original jwa anaehitaji nicheki via 0716651695
zipo s4 mpya kabisa na all accessories kwa sh. 600,000/= original jwa anaehitaji nicheki via 0716651695
Nakulipa laki 2 halafu iliyobaki na kulipa laki laki mpaka ikamilike 6
impossible kwako wewe angalia uzi nloutoa kuhusu simu check na bei nilizoandika watu wanajipatia simu original kwa bei rahisi wewe unasema impossible impossible .km huamini nitafute via 0716651695 uje uone mzigoimpossible impossible impossibleeeeeeee