Nahitaji Pharmacy (duka la dawa) linalouzwa Kigamboni

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Kwa mwenye kuuza duka la dawa kigamboni nahitaji. Iwe ni biashara yenye vibali vyote muhimu na pia unioneshe daftari la mauzo na location iwe nzuri ya kueleweka.

Nicheki inbox tuzungumze zaidi.
 
Back
Top Bottom