Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 753
Kiongozi we hupendi kutumia tiGo?
Sipendi kabisa mkubwa, mtandao huo uko cheap but very unreliable!
Kiongozi we hupendi kutumia tiGo?
why are you so much interested with this gender issues?au ckutoshi?
Hommie nawe hutumii tiGo?
B am gud!!! ila wasukuma bana wananichanganya, I was about to bring the chapa ya n'gombe home aaaaaaaaaaaaah makomplikesheni tena......
nina hamu na wewe B duh!!!! do ze needful ze soonest plz!!!
Kaizer i miss youuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
worry not B
Sasa ndo ujiandae kuwa na wageni wasiokauka hommie kwako B, ndo maua yenyewe ya boga lako hilo!
Miss you too carmel....hebu endelea kutafuta basi ka avatar kengine ee baby
I am on break i gues.Miss you too carmel....hebu endelea kutafuta basi ka avatar kengine ee baby
Sista Sophia, kuna tuhuma kule kwa AK hebu kafafanue teh teh teh teh.Habari zenu wana jamii forums.
Jamani mwenzenu nahitaji mwenza,umri unanituma mkono.
>Umri wowote ule isiwe zaidi ya 50.Mie nina 29 years old almost kama 30 hivyo naona umri unakimbia.
>Awe na dini yoyote, mie muislamu ila naweza kubadili dini nikipata mkristo.
>Elimu atleast awe na bachelor, mimi nina masters.
>Awe mtu anayejipenda, i mean awe smart.
Sina mengi zaidi ni hayo tu.Mwenye sifa atume maombi.
Dah haya maombi sasa yamezidi ukiwafuata wanakuwa mabubu sasa sijui wanafanya utafiti au vp?
Dah haya maombi sasa yamezidi ukiwafuata wanakuwa mabubu sasa sijui wanafanya utafiti au vp?
Halafu wengi wao unakuta ana post 6.............lazima ni wazoefu tu wanaobalidi ID ili kupima akili za watu humu!
Afu carmel bila avatar jameni nashindwa kutambua uwepo wake
sijui klorokwini akija itakuwa vipi???