Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
Tatizo langu nina wivu wa kufa mtu.cwezi vumilia kifaa changu kinatumiwa tumiwa tu! nisijekufa cku si zangu.Hahaha bibie! Usijali mila zitadumishwa lakini penzi litabakia kwako peke yako.
Tatizo langu nina wivu wa kufa mtu.cwezi vumilia kifaa changu kinatumiwa tumiwa tu! nisijekufa cku si zangu.Hahaha bibie! Usijali mila zitadumishwa lakini penzi litabakia kwako peke yako.
Usijali kule nakamata harufu chakula nakuja kula nyumbani.Tatizo langu nina wivu wa kufa mtu.cwezi vumilia kifaa changu kinatumiwa tumiwa tu! nisijekufa cku si zangu.
Why number ya tigo? And what if hana namba ya tigo? Au una maana nyingine?
Sista Sophia huyo mwenza unayemtafuta kuanzia 50yrs ni wa MALENGO gani? manake tofauti ya miaka 20 (assuming unampata wa 50yrs) sound ridiculous to me.
Vivian vipi leo billionares club tukamatane pale moja moto moja baridi?
Usiniweke maneno mdomoni!! I said tigo meaning mobile No.
Why Tigo!! Because Tigo is cheap and statistics show That Everyone in Dar has a tigo No.
Mi bado nataka kujua anatafuta mwenza wa jinsia gani. Hilo tu basi!
Kwa hiyo kwa ankal leo ntakuwa peke yangu siyo?
Mi bado nataka kujua anatafuta mwenza wa jinsia gani. Hilo tu basi!
Kwa hiyo kwa ankal leo ntakuwa peke yangu siyo?
Mamushkaaaa! LOLZ! Ngoja nikufanyie the needful. Simu ya elfu 25 si poa tu?mshiki wa iribini, am the exception here.....sina hiyo no ya Tigo....
Aseme tu, Fidel hayuko mbali na hapa. Kama vipi kuna swahiba yako AKILI KICHWANI.........! Atapata akili yake!assume anatafuta wa kiumeni basi.................
mshiki wa iribini, am the exception here.....sina hiyo no ya Tigo....
Oupssss! OK hommie. Do the needful!duh..hommie wewe tena bana? ngoja tumsikie anasemaje kwanza...logistik!
Usiniweke maneno mdomoni!! I said tigo meaning mobile No.
Why Tigo!! Because Tigo is cheap and statistics show That Everyone in Dar has a tigo No.
Mamushkaaaa! LOLZ! Ngoja nikufanyie the needful. Simu ya elfu 25 si poa tu?
Aseme tu, Fidel hayuko mbali na hapa. Kama vipi kuna swahiba yako AKILI KICHWANI.........! Atapata akili yake!
Siyo kweli hapo kweli red. I, for one, don't have a tigo number!
Kiongozi we hupendi kutumia tiGo?Siyo kweli hapo kweli red. I, for one, don't have a tigo number!
Naomba nikuulize swali sista sophia. Umeshawahi kuwa na boyfriend?
At least hili naweza kusema ni la kweli kabisa mpwa
B! How r u today?
Naomba nikuulize swali sista sophia. Umeshawahi kuwa na boyfriend? [/QUOTE]
Are you looking for someone who is still virgin?
na yeye ni virgin hata!!!???
Mi bado nataka kujua anatafuta mwenza wa jinsia gani. Hilo tu basi!
Kwa hiyo kwa ankal leo ntakuwa peke yangu siyo?