Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,018
- Thread starter
- #121
Babangu hayuko na 45 mkuu25 vs 45 parefu. Wapo watu wa makamo 35 mpaka 38 hapo wanakuwa wamesha experience mengi na kutulia. 45 ni kama baba yako asee.
Babangu hayuko na 45 mkuu25 vs 45 parefu. Wapo watu wa makamo 35 mpaka 38 hapo wanakuwa wamesha experience mengi na kutulia. 45 ni kama baba yako asee.
Kuna January yenye siku 100 na nyingine Ina siku 12. Pale ambapo unamwahidi mkuu wa shule kuwa ada ya mtoto itamaliziwa mwisho wa mwezi, mwezi huwa unaisha harakaWote tunateseka lkn, ila nyie zaidi maana pesa inawatoka home na kwa michepuko pia, bado January yenye siku 100 inakuja inabidi ujiandae mwezi huu
😂😂😂 mwisho wa mwezi unafika fasta hata huelewi na pesa haijapatikana😂Kuna January yenye siku 100 na nyingine Ina siku 12. Pale ambapo unamwahidi mkuu wa shule kuwa ada ya mtoto itamaliziwa mwisho wa mwezi, mwezi huwa unaisha haraka
Wooow!!! Naona umeandika mapema asubuhi baada ya kukosa warmth usiku! Ningekuja inbox kwako sema naogopa kuongopewa!!Habarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
Safi sana ni nzuri kutulia na mmoja hata January huna cha kuhofia pesa yote inakua centralized 😂Nmetulia na mmoja 😆😆😆
Na tunaweka pasu mezani ...una ngap nina kadhaa wewe nina kadha ...allocationSafi sana ni nzuri kutulia na mmoja hata January huna cha kuhofia pesa yote inakua centralized 😂
hili bandiko ungelileta mwezi uliopita mambo yangekuwa bambam, sasa hii mvua natuliaje baada ya wiki kina mankha wanakuja huku mlimani na nguo zao zenye sponji kwenye makalio natuliaje huo mtihani naushindaje.Habarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
Wow nimewapenda buree, mkifanya hivo mnapata maendeleo fasta na openness ikiwepo, ntawaiga kwenye hilo👍Na tunaweka pasu mezani ...una ngap nina kadhaa wewe nina kadha ...allocation
Hahahaha muhim ni utayariWow nimewapenda buree, mkifanya hivo mnapata maendeleo fasta na openness ikiwepo, ntawaiga kwenye hilo👍
Haijalishi, lakini Mzee mwenye miaka 45 technically anaweza kukuzaa wewe. Unless uwe umedanganya umri wako.Babangu hayuko na 45 mkuu
Hahahaha, umechoka na habari za kuna ishu naisikilizia!Ili aweze kunihudumia huduma ninazostahili as his partner,vijana me hapana kwakwel uongo mwingi iman kwao imekufa let me try huku kwngne nionee
Muwe mnaweka mawasiliano inbox
Ilete mkuu ikupe taarifaHaijalishi, lakini Mzee mwenye miaka 45 technically anaweza kukuzaa wewe. Unless uwe umedanganya umri wako.
Unaposema vijana ni hit & run Hilo lipo kila sehemu hata kwa wazee. Kuna wazee wengi tu hawapati haki za ndoa nyumbani sababu wake zao wamezeeka na wamekuwa wasumbufu. Nao wapo mawindoni wanatafuta pa kumpunguzia semen. Na hawataki kuvunja ndoa zao. Be careful
Na ndio maana baadhi ya wachangiaji wamekutahadharisha kuwa wewe ndio una tatizo, you need to do something on yourself for yourself by yourself. Ndipo mwanaume yeyote ataona value ndani yako, na atakupenda.
Kumbuka: mwanaume ana machaguzi hata 200 ya mwanamke amtakaye, je mwenendo wako, tabia zako, Vaa yako, ongea yako zinaweza kuku support mbele ya mtu anayetafuta mke?
Je nikitia timu yangu ya upelelezi mtaani kwako, jamii inayokuzunguka inasemaje kuhusu wewe?
Hahahah Hahahah.....Hahahaha, umechoka na habari za kuna ishu naisikilizia!
Asante kwa ushauriHaijalishi, lakini Mzee mwenye miaka 45 technically anaweza kukuzaa wewe. Unless uwe umedanganya umri wako.
Unaposema vijana ni hit & run Hilo lipo kila sehemu hata kwa wazee. Kuna wazee wengi tu hawapati haki za ndoa nyumbani sababu wake zao wamezeeka na wamekuwa wasumbufu. Nao wapo mawindoni wanatafuta pa kumpunguzia semen. Na hawataki kuvunja ndoa zao. Be careful
Na ndio maana baadhi ya wachangiaji wamekutahadharisha kuwa wewe ndio una tatizo, you need to do something on yourself for yourself by yourself. Ndipo mwanaume yeyote ataona value ndani yako, na atakupenda.
Kumbuka: mwanaume ana machaguzi hata 200 ya mwanamke amtakaye, je mwenendo wako, tabia zako, Vaa yako, ongea yako zinaweza kuku support mbele ya mtu anayetafuta mke?
Je nikitia timu yangu ya upelelezi mtaani kwako, jamii inayokuzunguka inasemaje kuhusu wewe?