Nahitaji mtu mzima nitulie nae

Habarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
Wooow!!! Naona umeandika mapema asubuhi baada ya kukosa warmth usiku! Ningekuja inbox kwako sema naogopa kuongopewa!!
 
Habarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
hili bandiko ungelileta mwezi uliopita mambo yangekuwa bambam, sasa hii mvua natuliaje baada ya wiki kina mankha wanakuja huku mlimani na nguo zao zenye sponji kwenye makalio natuliaje huo mtihani naushindaje.

mimi nitakutafuta mwezi wa pili sitaki kuwa muongo kwenye mahusiano mapya.

weka hata picha moja uliyopiga ukiwa umetoka kulala nishauriane na Dadii ninayokunywa sasa hivi kufanya maamuzi magumu.
 
Babangu hayuko na 45 mkuu
Haijalishi, lakini Mzee mwenye miaka 45 technically anaweza kukuzaa wewe. Unless uwe umedanganya umri wako.
Unaposema vijana ni hit & run Hilo lipo kila sehemu hata kwa wazee. Kuna wazee wengi tu hawapati haki za ndoa nyumbani sababu wake zao wamezeeka na wamekuwa wasumbufu. Nao wapo mawindoni wanatafuta pa kumpunguzia semen. Na hawataki kuvunja ndoa zao. Be careful

Na ndio maana baadhi ya wachangiaji wamekutahadharisha kuwa wewe ndio una tatizo, you need to do something on yourself for yourself by yourself. Ndipo mwanaume yeyote ataona value ndani yako, na atakupenda.
Kumbuka: mwanaume ana machaguzi hata 200 ya mwanamke amtakaye, je mwenendo wako, tabia zako, Vaa yako, ongea yako zinaweza kuku support mbele ya mtu anayetafuta mke?
Je nikitia timu yangu ya upelelezi mtaani kwako, jamii inayokuzunguka inasemaje kuhusu wewe?
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Nimepanga chumba sebure na choo ndani na nina bodaboda mbili huku mimi nikiendesha bajaj...Kwa context uliyosema ya kujiweza kiuchumi,nafit?
 
Haijalishi, lakini Mzee mwenye miaka 45 technically anaweza kukuzaa wewe. Unless uwe umedanganya umri wako.
Unaposema vijana ni hit & run Hilo lipo kila sehemu hata kwa wazee. Kuna wazee wengi tu hawapati haki za ndoa nyumbani sababu wake zao wamezeeka na wamekuwa wasumbufu. Nao wapo mawindoni wanatafuta pa kumpunguzia semen. Na hawataki kuvunja ndoa zao. Be careful

Na ndio maana baadhi ya wachangiaji wamekutahadharisha kuwa wewe ndio una tatizo, you need to do something on yourself for yourself by yourself. Ndipo mwanaume yeyote ataona value ndani yako, na atakupenda.
Kumbuka: mwanaume ana machaguzi hata 200 ya mwanamke amtakaye, je mwenendo wako, tabia zako, Vaa yako, ongea yako zinaweza kuku support mbele ya mtu anayetafuta mke?
Je nikitia timu yangu ya upelelezi mtaani kwako, jamii inayokuzunguka inasemaje kuhusu wewe?
Ilete mkuu ikupe taarifa
 
Haijalishi, lakini Mzee mwenye miaka 45 technically anaweza kukuzaa wewe. Unless uwe umedanganya umri wako.
Unaposema vijana ni hit & run Hilo lipo kila sehemu hata kwa wazee. Kuna wazee wengi tu hawapati haki za ndoa nyumbani sababu wake zao wamezeeka na wamekuwa wasumbufu. Nao wapo mawindoni wanatafuta pa kumpunguzia semen. Na hawataki kuvunja ndoa zao. Be careful

Na ndio maana baadhi ya wachangiaji wamekutahadharisha kuwa wewe ndio una tatizo, you need to do something on yourself for yourself by yourself. Ndipo mwanaume yeyote ataona value ndani yako, na atakupenda.
Kumbuka: mwanaume ana machaguzi hata 200 ya mwanamke amtakaye, je mwenendo wako, tabia zako, Vaa yako, ongea yako zinaweza kuku support mbele ya mtu anayetafuta mke?
Je nikitia timu yangu ya upelelezi mtaani kwako, jamii inayokuzunguka inasemaje kuhusu wewe?
Asante kwa ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom