Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Assalamu alaykum waungwana. Natafuta mpishi mzuri anayeweza kupangilia menu za aina mbalimbali kwa ajili ya mgahawa wa kisasa ulioko Kinondoni. Mwenye taarifa au contact za mtu kama huyo anaweza kunirushia hapa au kunitumia PM. Natanguliza shukurani.