Kiumbe duni
Senior Member
- Dec 3, 2011
- 100
- 8
Wadau mimi nina biashara yangu grossery ndogo tu ya kawaida, nahitaji mkopo wa m1 nataka kuiboresha zaidi kwa kuongeza viti, meza pamoja na friza moja kubwa. Nisaidieni ni benki gani ninayoweza kupata mkopo kutokana na vigezo nilivyo navyo?. Ila benki ya Accises na nyingine zenye riba kubwa kama hii sizihitaji. Biashara yangu ina leseni.