Nahitaji mbwa aina ya German Shepherd au Pitbull (Dume na Jike)

American+Pitbull+Dog+0.jpg
Huyu hata bure sichukui

kwanini mkuu unaweza ukaongezea nyama hapo
 
Picha za Pitbull ni hizi hapa
kwahiyo chagua mwenyewe
9k=
pitbull1.jpg
angry-pit-bull-2-teeth-92f1240bfd113053.jpg
American+Pitbull+Dog+0.jpg

Katika mbwa wenye sura mbaya hakuna kama hawa,yaani bure sichukui.Mbwa gani zezeta.
Mbwa watoto ila wanasura za kizee,yaani ukoo wa mbwa hawa mtoo hata akizaliwa leo basi sura inafanana na merehem babu yake
 
Ukifika Mingoi unaenda Kama unaelekea shule ya kipingu kwa mbele pale Kama unaelekea Ndoto Pole Pole farm Kuna jamaa ana mbwa species Kama 15 Hivi wote hao anao hadi pitbull.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom