Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,948
...wa kike na wawe na at least first degree. Anaemfahamu japo mmoja ANI-PM tafadhali. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Wa O level au A level?
Unataka kuwaambia nin?
Mmeanza! Hamna dogo watu nyie?!
Kama uko serious, nahitaji candidates kwa ajili ya data collection ila sipo Dar na official channels zinani-frustrate!
...wa kike na wawe na at least first degree. Anaemfahamu japo mmoja ANI-PM tafadhali. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Sasa kwa nini unasisitiza walimu wa kike wa Jangwani? Ummezingatia vigezo na masharti gani?
Kwani wakiume hawawezi kukupa details??
Sasa kwa nini unasisitiza walimu wa kike wa Jangwani? Ummezingatia vigezo na masharti gani?
wewe unawafahamu!!