Mshua's
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 801
- 546
Habari wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kununua simu ila sijajua ni brand gani kati ya Samsung, Nokia au Infinix
Nahitaji simu yenye sifa hizi:
- Processor - snapdragon 630
- Ram 4, CPU 32 GB
- Kioo supergorrila 3
- Battery 4000 mAh
- Camera 16 mp
- Na vitu vingine kama hivyo
NB: Ukitaja brand ya simu taja na bei yake.
Natanguliza shukrani kwenu
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kununua simu ila sijajua ni brand gani kati ya Samsung, Nokia au Infinix
Nahitaji simu yenye sifa hizi:
- Processor - snapdragon 630
- Ram 4, CPU 32 GB
- Kioo supergorrila 3
- Battery 4000 mAh
- Camera 16 mp
- Na vitu vingine kama hivyo
NB: Ukitaja brand ya simu taja na bei yake.
Natanguliza shukrani kwenu