Nahitaji kuifahamu B.A. Economics ya UDSM

PATIENCE PB

Senior Member
Apr 3, 2014
163
37
Wakubwa shikamooni!!
Wanajamvi naleta huu uzi mwenye kujua hii course ya B.A.Economics ya UDSM anieleze ina opportunity zipi za kazi kwa sababu mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu na nimepata div. One na nataka nifahamu kuhusu hiyo course na wapi ntakuwa nafanya field kama ntakuwa nimesoma hiyo na soko la ajira liko vipi ukiwa economist?Nimesoma ECA-Kibaha boys
Asanteni!!
 
Wakubwa shikamooni!!
Wanajamvi naleta huu uzi mwenye kujua hii course ya B.A.Economics ya UDSM anieleze ina opportunity zipi za kazi kwa sababu mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu na nimepata div. One na nataka nifahamu kuhusu hiyo course na wapi ntakuwa nafanya field kama ntakuwa nimesoma hiyo na soko la ajira liko vipi ukiwa economist?Nimesoma ECA-Kibaha boys
Asanteni!!

Unakua MCHUMI. Unaweza kuajiriwa kama mchumi kwenye halmaishauri za mikoa na wilaya, unaweza kufanya kazi kwenye taasisi za fedha, ngo, au Kama wengi walio na ndoto za benki kuu waweza kuajiriwa pia. Si kozi mbaya japo waweza sota mtaani kidogo.
 
Unakua MCHUMI. Unaweza kuajiriwa kama mchumi kwenye halmaishauri za mikoa na wilaya, unaweza kufanya kazi kwenye taasisi za fedha, ngo, au Kama wengi walio na ndoto za benki kuu waweza kuajiriwa pia. Si kozi mbaya japo waweza sota mtaani kidogo.
Ni vitu gani vinaweza kusababisha mi kusota mtaani kwa muda?? Na ni muda gani? Na hao wachumi wanalipwa mishahara katika daraja lipi kwa kuanzia?? Nijibu na hayo tafadhali kama unafahamu?
 
Unakua MCHUMI. Unaweza kuajiriwa kama mchumi kwenye halmaishauri za mikoa na wilaya, unaweza kufanya kazi kwenye taasisi za fedha, ngo, au Kama wengi walio na ndoto za benki kuu waweza kuajiriwa pia. Si kozi mbaya japo waweza sota mtaani kidogo.
Mkuu je Mimi wa HGE naweza soma hiyo course ?
 
Nendeni bed com kama family zenu mkisota mtaani zitawaona mliferi au hazina uwezo wa kuwafungulia hata kiduka
 
Ni vitu gani vinaweza kusababisha mi kusota mtaani kwa muda?? Na ni muda gani? Na hao wachumi wanalipwa mishahara katika daraja lipi kwa kuanzia?? Nijibu na hayo tafadhali kama unafahamu?

Kusota mtaani kwa maana ya kukosa ajira kama ujuavyo wachumi wako wengi tayari kwa hiyo kazi sio rahisi kupatikana.Muda haujulikani can be up to years hadi wengine wanaenda kusoma pgd ya education

Scales zao sijui ila najua inategemea na wapi ulipoajiriwa
 
Moja kati ya kozi bora kabisaa udsm BA economics.

Unaweza kufanya kazi kwenye taasisi za fedha mfano benk, TRA,
Unaweza kufanya kazi kwenye kampuni mbalimbali za kibiashara

Unaweza kujiajiri

Unaweza kuwa mwalimu Wa economics

Kwa kweli hii fani ina sehem nyingi saana na kufanya kazi kwa vile haina deep specialisation ..

Cha msingi kama unasoma economics dogo ukaze msuli GPA isome vizuri pia weewe mwenyewe uwe compitent ....

Jiandae kukutana na walimu wanaobana marks balaa pale udsm kama Dr osorro, Dr mkenda, Mr mkai, Loikina, na wengine wengi wanaofanya maisha ya hii course kuwa ngumu.

Ukiwa unasoma anza kufanya connections mapema za kazi LA sivyo njoo tuungane kuzungusha majembe(bahasha) mtaani

Good luck
 
Moja kati ya kozi bora kabisaa udsm BA economics.

Unaweza kufanya kazi kwenye taasisi za fedha mfano benk, TRA,
Unaweza kufanya kazi kwenye kampuni mbalimbali za kibiashara

Unaweza kujiajiri

Unaweza kuwa mwalimu Wa economics

Kwa kweli hii fani ina sehem nyingi saana na kufanya kazi kwa vile haina deep specialisation ..

Cha msingi kama unasoma economics dogo ukaze msuli GPA isome vizuri pia weewe mwenyewe uwe compitent ....

Jiandae kukutana na walimu wanaobana marks balaa pale udsm kama Dr osorro, Dr mkenda, Mr mkai, Loikina, na wengine wengi wanaofanya maisha ya hii course kuwa ngumu.

Ukiwa unasoma anza kufanya connections mapema za kazi LA sivyo njoo tuungane kuzungusha majembe(bahasha) mtaani

Good luck
Bila kumsahau dr karamagi.
 
Uchumi nzuri sana, sema basii tu, mm nilichanganya Economics na somo jingine....Ila sema course hii inabanwa na BBA wanaonekana kuziba mianya ya ajira za wachumi
 
Bila kumsahau dr karamagi.
Hahaha huyu bwana aliondokaga akarudi tunasoma ile kozi ya intermediate economic second year dah tulikuwa 250 akakerisha 80 kwanza kozwek... Badae sup za kumwaga...! Sio mtu mzuri kabisa
 
Mm huwa nawashaur
Hahaha huyu bwana aliondokaga akarudi tunasoma ile kozi ya intermediate economic second year dah tulikuwa 250 akakerisha 80 kwanza kozwek... Badae sup za kumwaga...! Sio mtu mzuri kabisa
Mm huwa nawashaur wadogo zangu (zetu) kChamsingi ni kua The Best.
Mpaka mtu ana graduate hata kwa degree ya 2.0
Wakat mwingine baadhi ya ma lecturer huwa wanafanya maisha ya course yawe magumu.
All in all ...Niku work hard Nakumwomba MUNGU alwayz awe upande wako.. Mm nakumbuka nikiwa chuo course za ma lecturer watata
Pale ambapo course zili kamata majority mm namshukuru mungu nili pumzika na B+
Chamsing fuata your passion.
 
Kusota mtaani kwa maana ya kukosa ajira kama ujuavyo wachumi wako wengi tayari kwa hiyo kazi sio rahisi kupatikana.Muda haujulikani can be up to years hadi wengine wanaenda kusoma pgd ya education

Scales zao sijui ila najua inategemea na wapi ulipoajiriwa
Ni Kweli, Umemjibu vizuri mkuu. Kusota mtaani ni jambo la kawaida na ukiliweka mbele sana waweza kuachana na career yako ambayo unataka kuisomea. Na haijalishi kozi, waliochukua BAED NA BED karibia mwaka mzima wapo home, na hawajajua hatima yao mpaka sasa. Ni kujipanga tu
 
Wengi wao wanaishia kua walimu wa economics kwnye shule za private kwa sababu kupata iyo ajira ni mziki hasa
 
Wakubwa shikamooni!!
Wanajamvi naleta huu uzi mwenye kujua hii course ya B.A.Economics ya UDSM anieleze ina opportunity zipi za kazi kwa sababu mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu na nimepata div. One na nataka nifahamu kuhusu hiyo course na wapi ntakuwa nafanya field kama ntakuwa nimesoma hiyo na soko la ajira liko vipi ukiwa economist?Nimesoma ECA-Kibaha boys
Asanteni!!
Kwa udhamin wa ALLEN NJAU
 
Kwan iyo BA ya economics inapatikana UDSM tu???? Na ningumu kias gan au nyepesi kiasi gan
 
Back
Top Bottom