Nahitaji kuanziasha biashara ila sijapata ramani hata kama nikulima am ready.Ningependelea wazo liwe litafit kwa mazingira ya DSM (kokote) au Morogoro ila huko nikwabiashara ya mwaka 1.
Nawasilisha
Nahitaji kuanziasha biashara ila sijapata ramani hata kama nikulima am ready.Ningependelea wazo liwe litafit kwa mazingira ya DSM (kokote) au Morogoro ila huko nikwabiashara ya mwaka 1.
Nawasilisha
Tua mzigo, kuna biashara smart sana hutajutia, ni biashara ya mtandao. Please kama kweli una milion 1 iyo ni nyingi sana, ni inbox whatsap 0752 693 692 dk chache zitatosha kuelewa kwa ujumla,.mfumo wa biashara, faida zake na uwezekano wa kuwa na kipato cha kudumu
Nipigie tuongee ,niko mbeya 0652441607
Nahitaji kuanziasha biashara ila sijapata ramani hata kama nikulima am ready.Ningependelea wazo liwe litafit kwa mazingira ya DSM (kokote) au Morogoro ila huko nikwabiashara ya mwaka 1.
Nawasilisha
Nunua belo za madera uza ndani ya Dar. bei 250,000/= - 500,000/= kwa idhini ya Allah utatoka. Nimeona machinga waavyopiga hela kwa huku kwetu Mbagala.Nahitaji kuanziasha biashara ila sijapata ramani hata kama nikulima am ready.Ningependelea wazo liwe litafit kwa mazingira ya DSM (kokote) au Morogoro ila huko nikwabiashara ya mwaka 1.
Nawasilisha
Nami nnasisitiza Kuwa makini na ushauri unaopewa hapa, an advice is a very cheap thing don't rely only on it. Usijaribu kujiunga na MLM/Biashara ya mtando kama FLP/Forever Living & the like, never ever join them. Angalia watu wakaribu yako wanachangamoto gani then offer a solution. Ukishindwa tuwasiliane nikufungue zaidi. All the best!Nahitaji kuanziasha biashara ila sijapata ramani hata kama nikulima am ready.Ningependelea wazo liwe litafit kwa mazingira ya DSM (kokote) au Morogoro ila huko nikwabiashara ya mwaka 1.
Nawasilisha
Ninyi mnaotoa namba za simu bila kusema kitu ni wa kuogopwa na kupuuzwa.