TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Natafuta king'amuzi cha kuweza kutambua:
1.Tofauti ya ukabila na uraia.
2.Vyama vya siasa na vyama vya upinzani.
3.Mtuhumiwa na mkosaji.
4.Hali halisi na uzushi.
5.Rafiki na adui.
6.Kuropoka na kueleza.
Haya yanachanganya kidogo.
1.Tofauti ya ukabila na uraia.
2.Vyama vya siasa na vyama vya upinzani.
3.Mtuhumiwa na mkosaji.
4.Hali halisi na uzushi.
5.Rafiki na adui.
6.Kuropoka na kueleza.
Haya yanachanganya kidogo.