Hey There
Member
- Nov 12, 2023
- 37
- 114
Mambo magumu hapa aise ninashida na kama 50,000 kila ninayemkopa hana kama kuna kibarua sehemu au mtu anakazi fulani ya kufanya nikapata hii pesa basi msaada unahitajika.
Sina kazi ya maana na nimepata changamoto ya kuuguza mfukoni sina kitu kabisa anayeweza nisaidia nitashukuru hali ngumu sana
Hata nikipata 20,000 nitajivutavuta ninauhitaji wa pesa wa haraka sijui naipata wapi
Sina kazi ya maana na nimepata changamoto ya kuuguza mfukoni sina kitu kabisa anayeweza nisaidia nitashukuru hali ngumu sana
Hata nikipata 20,000 nitajivutavuta ninauhitaji wa pesa wa haraka sijui naipata wapi