Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
Sina muda mrefu hapa JF. Napata shida sana kuhusu mambo mengi. Kwa mfano, kama nachangia mada ya mtu halafu nataka kumjulisha huyo mleta mada kwamba nimechangia, ntamjulishaje?
Kuna mada nilitoa hapa, mchangiaji mmoja akaniambia 'ni PM' Manaake ni nini?
Ninapoingia JF nakuta kabango ka kijani kameandikwa 'Notifications'.Kazi yake nini?
Nilijitambulisha rasmi kwenye jukwaa la utambulisho lakini sikupewa maelezo yoyote ya namna ya kukata mitaa ya JF. sanasana niliambiwa "Karibu Mkuu Jisikie uko nyumbani."
Bado kabisa sijajisikia nyumbani. Nahitaji mtu mwenyeji wa kunielekeza jinsi na namna ya mambo mbalimbali kama niliovyogusia hapo juu. Je, wapo watu maalum kwa kazi hiyo?
Naomba msaada.
Kuna mada nilitoa hapa, mchangiaji mmoja akaniambia 'ni PM' Manaake ni nini?
Ninapoingia JF nakuta kabango ka kijani kameandikwa 'Notifications'.Kazi yake nini?
Nilijitambulisha rasmi kwenye jukwaa la utambulisho lakini sikupewa maelezo yoyote ya namna ya kukata mitaa ya JF. sanasana niliambiwa "Karibu Mkuu Jisikie uko nyumbani."
Bado kabisa sijajisikia nyumbani. Nahitaji mtu mwenyeji wa kunielekeza jinsi na namna ya mambo mbalimbali kama niliovyogusia hapo juu. Je, wapo watu maalum kwa kazi hiyo?
Naomba msaada.