Kitope
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 236
- 58
Kwa heshima zote Wakuu. naombeni mwenye ujuzi huu anifungue macho! Nahitaji kibanda tu cha kawaida, yaani chumba kulia chumba kushoto na choo kipo tayari nje! Kwa aliyewahi kufanya hii itanigharimu ngapi?!!? kila kitu nanunua mwenyewe tofali zipo tayari shambani kwa hiyo hapa ni mbao za kuezekea,mabati na dirisha za mbao!! Naombeni msaada nipo njia panda kwa anayejua makadirio yake. ama kama kuna fundi mwaminifu naomba nitambulishwe. kwa wale wazoefu nini nitahitaji zaidi? eneo liko huko kigamboni mashambani
Shukrani zinatangulizwa.
Shukrani zinatangulizwa.