Nahitaji chumba cha kupanga mabibo kwa uharaka

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
1,195
1,661
Habari Wakuu,

Nina kijana wangu amejiunga NIT ngazi ya cheti(HR). Naomba chumba cha kupanga (single room) ndani ya kata ya mabibo au maeneo jirani.

Piga 0713 039 875.
 
nenda maeneo mburahati hapo ni karibu na chuo chako.
Kodi ni nzuri na vyumba vingi tu.dakika 15 kwa miguu kufika chuo hapo
 
Back
Top Bottom