Chumba cha kupanga Kimara. Kodi isizidi Tsh 100,000/- kwa mwezi

Nrangoo

JF-Expert Member
May 22, 2017
3,352
5,250
Habari wakuu. Nawatakia nyote kheri ya mwaka mpya.


Mimi ninahitaji chumba self maeneo ya Kimara , liwe eneo la karibu na barabara, kodi isizidi Tsh 100,000/- kwa mwezi. Nipo tiyari kulipia kodi kwa miezi mitatu ya mwanzo.

Mwenye nacho naomba tuwasiliane.

Asante
 
Back
Top Bottom