emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 682
- 918
Niko wilaya ya Mafia, nalea vikundi vya wamama na vijana. Wanachama walio ndani ya hivi vikundi shughuli kubwa niliyoona wanafanya sana ni wanakopeshana sabuni za unga.
Wananunua carton ya sabuni ya unga mfano doffi wanakopeshana, baada ya wiki aliyekopeshwa anarejesha 2000 kwa kila pakiti ya doffi aliyokopehswa..
Kwa upande wangu naona ni biashara kichaa, nimeona nitafute mwalimu anayefundisha ujasiriamali na usindikaji/utengenezaji wa bidhaa mbalimbali.
Malipo na utaratibu mwingine tuwasiliane. 0712864404
Wananunua carton ya sabuni ya unga mfano doffi wanakopeshana, baada ya wiki aliyekopeshwa anarejesha 2000 kwa kila pakiti ya doffi aliyokopehswa..
Kwa upande wangu naona ni biashara kichaa, nimeona nitafute mwalimu anayefundisha ujasiriamali na usindikaji/utengenezaji wa bidhaa mbalimbali.
Malipo na utaratibu mwingine tuwasiliane. 0712864404