Nahisi nimenyewa, Mambo yangu yote hayaendi

kuna dawa ukiifanya bila kuidharau ndani ya siku 7...hiyo hali itakutoka na inaanza kuleta matikeo kuanzi siku hiyo hiyo utakayo anza...

kesho panapo majaaliwa asubuhi ukienda kuoga hakikisha maji unayooga unayachanganya na mkojo wako wa asubuhi ule wa kwanza kabisa...maji yanayo hitajika ni ya room temperature ambayo hayajachemshwa mnaita yabaridi. hivyo kama upo kwenye mkoa wenye baridi kazi utakuwa nayo.

hakikisha ndoo inajaa ya rita kumi {sio uijaze mikojo🤣🤣🤣 mkojo ni uo kidogo utakao toka asubuhi ukiwa unakojoa utauchanganya kwenye ndoo yenye maji rita 10 Oga hadi maji yaishe...!

ila kama ukifanya mapenzi na mwanamke ule mkojo ambao umechanganyika na manii haufai.

mkojo unao takiwa ni ule ambao haujachanganyika na manii...!

fanya dawa hiyo kwa kuirudia kila ASUBUHI ndani ya siku 7. baada ya hapo ikikupendeza rudi utoe mrejesho.​
Ilishawah zungumziwaga humu na chumvi ya mawe
 
Nakazia

Ni rahisi sana kuamini umelogwa kuliko kukubali umekosea mahali

Tatizo hatuwezi kujua hali yake kwa undani, tumuache tu atafute 'dawa' ili ajiskie vizuri

Well kwangu mm nakubali yawezekana !!

shida inakuja kwene matokeo!! Kuna vitu huwaga vinaenda tu naturally!!
Lakin sasa ivi vinagota vyote!

Yaan mambo yanaenda yanaenda kwene matokeo kitu kina pita Pyuuuuuuu!!
 
Wakuu,,
Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…

Huwezi amini nikikusimulia aisee,,,,
Kila nachojaribu kinagoma safari hii…Nishapitia msoto lakini huu si msoto n kimavi kabisa.
Naombeni ushauri kama naweza nikatoa hali hii.


Kama huna msaada positive pita ivi! Mi mwenyewe ninna stress! Tusameheane
Jf wadau
FANYA IBADA...TOA SADAKA
 
Wakuu,,
Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…

Huwezi amini nikikusimulia aisee,,,,
Kila nachojaribu kinagoma safari hii…Nishapitia msoto lakini huu si msoto n kimavi kabisa.
Naombeni ushauri kama naweza nikatoa hali hii.


Kama huna msaada positive pita ivi! Mi mwenyewe ninna stress! Tusameheane
Jf wadau
Njoo kupeleke kwa mganga paje hilo jini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom