Waganga wa kienyeji wote hao.Tafuta Kanisa la kilokole usali hapo au nenda kwa Mwamposa.
Waganga wa kienyeji wote hao.Tafuta Kanisa la kilokole usali hapo au nenda kwa Mwamposa.
Ilishawah zungumziwaga humu na chumvi ya mawekuna dawa ukiifanya bila kuidharau ndani ya siku 7...hiyo hali itakutoka na inaanza kuleta matikeo kuanzi siku hiyo hiyo utakayo anza...
kesho panapo majaaliwa asubuhi ukienda kuoga hakikisha maji unayooga unayachanganya na mkojo wako wa asubuhi ule wa kwanza kabisa...maji yanayo hitajika ni ya room temperature ambayo hayajachemshwa mnaita yabaridi. hivyo kama upo kwenye mkoa wenye baridi kazi utakuwa nayo.
hakikisha ndoo inajaa ya rita kumi {sio uijaze mikojo🤣🤣🤣 mkojo ni uo kidogo utakao toka asubuhi ukiwa unakojoa utauchanganya kwenye ndoo yenye maji rita 10 Oga hadi maji yaishe...!
ila kama ukifanya mapenzi na mwanamke ule mkojo ambao umechanganyika na manii haufai.
mkojo unao takiwa ni ule ambao haujachanganyika na manii...!
fanya dawa hiyo kwa kuirudia kila ASUBUHI ndani ya siku 7. baada ya hapo ikikupendeza rudi utoe mrejesho.
Mkuu hii ni kweli au unamzingua jamaa?
ila watu ni wabishi sana...!Ilishawah zungumziwaga humu na chumvi ya mawe
Nyota inaibiwa na inatumiwa na watu wengine.Nyota haiibiwi, inachafuliwa tu.
Anampa mwenzake desa la uongo 😅Halafu wewe Kesho upo kilingeni Bagamoyo, Wabongo nuksi Sana.
Nakazia
Ni rahisi sana kuamini umelogwa kuliko kukubali umekosea mahali
Tatizo hatuwezi kujua hali yake kwa undani, tumuache tu atafute 'dawa' ili ajiskie vizuri
FANYA IBADA...TOA SADAKAWakuu,,
Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…
Huwezi amini nikikusimulia aisee,,,,
Kila nachojaribu kinagoma safari hii…Nishapitia msoto lakini huu si msoto n kimavi kabisa.
Naombeni ushauri kama naweza nikatoa hali hii.
Kama huna msaada positive pita ivi! Mi mwenyewe ninna stress! Tusameheane
Jf wadau
Mkuu, kwani haiwezekani kwa mtu kulogwa ili akosee mahali?Nakazia
Ni rahisi sana kuamini umelogwa kuliko kukubali umekosea mahali
Tatizo hatuwezi kujua hali yake kwa undani, tumuache tu atafute 'dawa' ili ajiskie vizuri
Njoo kupeleke kwa mganga paje hilo jiniWakuu,,
Nahisi kabisa toka moyoni kuna mtu kaniwekea kimavi.Yaan vitu vyangu vyote haviendi madili yote yanabuma…
Huwezi amini nikikusimulia aisee,,,,
Kila nachojaribu kinagoma safari hii…Nishapitia msoto lakini huu si msoto n kimavi kabisa.
Naombeni ushauri kama naweza nikatoa hali hii.
Kama huna msaada positive pita ivi! Mi mwenyewe ninna stress! Tusameheane
Jf wadau
Acha zako nitakufumania tu kilingeni ***** ngoja uone takavokuchanja chale mwili mzimaWewe wasema
maswala ya imani haya mimi siaminiMkuu, kwani haiwezekani kwa mtu kulogwa ili akosee mahali?