Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,338
- 1,221
Pole sana. 1. Ni kweli inawezekana umepata maambukizi lakini huo siyo mwisho wa maisha, unaweza bado kupamnana na kushimda. Kwa sasa cha kufanya ni kuwaepusha unaowapenda kwa kukaa nao mbali ili usije kuwaambukiza. Zile tiba za asili huu ndio wakati wake kutumia mara kwa mara. Na pia mazoezi kila unapoweza kuyapa mapafu kazi ya ziada. 2. Kichukua tahadhari tulizoambiwa na WHO, haina maana unakuwa 100% safe as long as unaendelea na shughuli zako unless ingewezekana ujiweke peke yako muda wote. Nikutakie quick recoveryHabari zenu Wana JF? I wish mnaendelea vizuri na funga katika mwezi huu mtukufu...
Member Mwenzenu siko poa nina maumivu ya kichwa almost wiki ya pili sasa nilipima niliambiwa nina malaria dozi nilimaliza na bado nina hilo tatizo
Pili Mafua yanayobana sana majira ya usiku kiasi kwamba nashindwa kupumua kwa raha....Na baadhi ya dalili kama koo kuwasha na kikohozi
Lakini hofu yanguni huenda ukawa huu ugonjwa ila najiuliza ni wapi nimepata mbona ni mtu wa kufata zile measures zote.....
All In All dua zenu wenu wadau najua wengine mnapitia hali kama yangu