MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
Mimi mwl wa Tempo (mwl wa muda) civics kidato cha 2. Wengi mnafahamu hapo suala kubwa ni serikali pamoja na maswala ya muungano. Swali: mbona yaliyopo kiuhalisia ni tofauti na darasani? mbona tunadanganya watoto? au silabas itabadilisha miaka 20 ijayo. walim wanaimba darasani kuhusu umuhimu wa muungano wakati watoto wanatazama TV na kusikiliza radio na kuona vijiweni watu wakikataa 'laiv' muungano na sasa wanaosema uvunjwe ndio wengi lakini; hili hawaelezwi watoto wetu mashuleni? My take: wizara ya elimu iangalie hili swala. Kwa macho ma3.