Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

Unaposema Bible haipingani unamaanisha nini ??? Hebu soma hapa ndipo ujue

YESU NI MUNGU, SAWA NA MUNGU, AU NI MDOGO KULIKO MUNGU?
YOH 10:30 " Mimi na Baba yangu tu mmoja.”

MKINZANO WAKE:
YOH 14:28 "Kumbukeni nilivyowaambia, ‘Ninakwenda, na nitarudi.’ Kama kweli mngalinipenda mngefurahi, kwa kuwa nakwenda kwa Baba; na Baba yangu ni mkuu kuliko mimi."

NANI BABA HALISI WA YOSEFU? YAKOBO AU ELI?
MAT 1:16 " Yakobo alikuwa baba yake Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, aliyemzaa Yesu anayeitwa Kristo."

MKINZANO WAKE
LUKA 3:23 "Yesu alikuwa na umri wa miaka kama thelathini hivi alipoanza kazi ya kuhubiri. Yesu alijulikana kama mtoto wa Yusufu. Yusufu alikuwa mwana wa Eli."

MFALME SULEMANI ALIKUA NA VIBANDA VINGAPI NA WAPANDA-FARASI WANGAPI?
1WAFALME 4:26 "Na Sulemani akawa na vibanda 40,000 vya farasi kwa ajili ya magari yake na wapanda-farasi 12,000."

MKINZANO WAKE
2NYAKATI 9:25 Na Sulemani akawa na vibanda 4,000 vya farasi na magari na farasi wa vita 12000, naye akaviweka vitu hivyo katika majiji ya magari na karibu na mfalme katika Yerusalemu.

JE, NI UPUMBAVU AU SI UPUMBAVU KUWA NA HEKIMA?
METHALI 4:7 "Hekima ndilo jambo kuu. Jipatie hekima; na pamoja na vyote unavyojipatia, jipatie uelewaji."

MKINZANO WAKE
MHUBIRI 1:18 "Kwa maana katika wingi wa hekima mna mambo mengi yenye kuudhi, hivi kwamba anayeongeza ujuzi anaongeza maumivu."

hii ni baadhi tu ya mistari inayokinzana.
Acha uongo
Matthew 1:1-16
Inaelezea mtiririko wa uzao wa Yesu kuanzia Abraham the father of isaac,Isaac the father of Jacob,Jacob the father of judas and his brothers....

Huu mtiririko ni kbl hata ya Musa na Yusuf anaezungumziwa hapa ni tangu wana wa israel wapo Misri kbl Musa hajazaliwa tofauti kbs na yusuf mume wa Maria mama wa Yesu,
Next time get ur facts correct before u open ur big mouth
 
uko siriasi kweli wewe?
Usahihi wa biblia ni uhakika wa safari ya mtu kwenda kuonana na Mola wake, na makosa kwenye biblia ni mashaka kwenye safari hiyo. Hao watu ni mitume ni manabiii au ni akina nani mpaka wawe na pawa ya kuedit maneno ya Mungu na kuamua makosa mengine yaendelee kubaki, ambapo maana yake watu wengine wendelee kupotea. Mwezi Julai mwaka huu Papa amesema Mungu kamuamuru abadilishe mari 10 za Mungu ili ziendane na wakati uliopo, Kweli? Amri ya nne itabadilishwa ili iendane na sheria ya mashoga kuruhusiwa kuasili watoto waso wao! Kweli? Kwenye biblia ushoga ulipingwa, je Mungu aliyepinga Ushoga ndiye huyu aliyemuambia papa sasa anaridhia ushoga mpaka waruhusiwe kuasili watoto? Uko siriasi kweli. Je mashoga walio uliwa kwa dhambi hiyo watasameheka sababu amri ya nne inabadilishwa?
Hii ishi ni very siriasi kama unatumia akili zake mwenyewe na siyo za kushikiwa.

Unachohitaji sio usahihi wa Maandiko bali usahihi wa ujumbe na itikio la Mungu baada ya toba yako na kuokoka basi. Wakristo wa Kirusi na nchi za Ulaya mashariki hawakuwa na Maandiko yote bali ujumbe kuwa Yesu ni mwokozi wa Ulimwengu na hakuna Jina lingine ni Yesu tu! Wakipata nakala moja ya Biblia waligawana kurasa na Kusoma KanIsa lilidumu hadi ukomunisti ulipoporomoka 1992. Unangangania usahihi Maandiko. Ngangania ujumbe sahihi
 
Naamini Mungu yupo, na ndo ametujaalia akili na utashi wa kupambanua mambo. Mara zote linapokuja suala la kuhoji origin ya hivi vitabu vitakatifu, viongozi wetu wa dini wanakimbilia neno moja tu, "AMINI", Kwamba tuamini kwamba hivi ni vitabu vitakatifu vya mwenyezi Mungu.

Kwenye biblia tunaambiwa iliandikwa na watu KWA MWONGIZO WA ROHO MTAKATIFU, swali langu ni je? Mimi nikikaa mezani kwangu nikaanza kuandika kitabu, wewe uliyeko jirani yangu utajuaje kwamba ninachoandika ni kwa uwezo wa roho mtakatifu au kwa uwezo wangu mwenyewe. Nikisema kwamba kuna group la watu kwa interest zao, waliamua kuanzisha hiyo project na wakaihalalisha kwa kusema ni neno la Mungu na tuliamini nakosea?

Mimi sio Muislam, hivyo sijui sana kuhusu origin ya Qur'an but, naskia kwamba Qur'an ilishushwa kutoka mbinguni, sijui ni ushahidi gani uliopo wa kuthibitisha hilo au pengine ni dhana ambayo imelalia kwenye imani zaidi. Lakini nikisema kuna watu walitengeneza hayo yote na ili kuyahalalisha wakayaweka chini ya miliki ya Mungu, nitakuwa nakosea.

Tafadhali, usiniambie niamini, nipe sababu za msingi za kwanini nisiamini kuwa biblia na qur'an hazikutengenezwa na kundi flani la watu kwa manufaa yao.
Badala ya "kuskia" tu kwa watu, ambao hauna uhakika wakweli au la, kuhusu Qur'an, kwanini usiisome wewe mwenyewe halafu uje na jibu.

Kwanini uandikie mate na wino upo?
 
Inawezekana kweli viliandaliwa na kuandikwa na watu
Swali linakuja hivi "ni wapi waliyatoa haya mawazo na yalilenga kitu gani hasa na kwa sababu zipi?"
 
Mkuu kwanini unasema nakosea kusema kuwa Qur'an imetungwa, usiniambie niamini nipe ushahid. Unaamije kwamba Muhammad alipokuwa anaandika qur'an kule pangoni alikuwa haongozwi na shetani, au alikuwa hajitungii mwenyewe. Kwann useme alikuwa anaambiwa na Mungu, why?

Nani alikudanganya kuwa Muhammad Salma Allahu Alayhi Wasalam alikuwa anajuwa kuandika?
 
Badala ya "kuskia" tu kwa watu, ambao hauna uhakika wakweli au la, kuhusu Qur'an, kwanini usiisome wewe mwenyewe halafu uje na jibu.

Kwanini uandikie mate na wino upo?
Quran is not correct and here is the evidence


Mary Confused with Miriam[edit]

Each of the following verses narrates the story of Jesus's birth. But Mary the mother of Jesus was born in the first century BCE and is not related to Moses and his family that existed 1500 years before. Miriam, not Mary, was the sister of Moses and Aaron and daughter of Amram (Imran).

At length she brought the (babe) to her people, carrying him (in her arms). They said: "O Mary! truly an amazing thing hast thou brought! O sister of Aaron! Thy father was not a man of evil, nor thy mother a woman unchaste!"

Qur'an 19:27-28

And Mary, the daughter of 'Imran, who guarded her chastity; and We breathed into (her body) of Our spirit;

Qur'an 66:12

Hence the claim that Mary's mother is the wife of Imran is also false.

Behold! a woman of 'Imran said: "O my Lord! I do dedicate unto Thee what is in my womb for Thy special service: So accept this of me: For Thou hearest and knowest all things." When she was delivered, she said: "O my Lord! Behold! I am delivered of a female child!"- and Allah knew best what she brought forth- "And no wise is the male Like the female. I have named her Mary, and I commend her and her offspring to Thy protection from the Evil One, the Rejected."

Qur'an 3:35-36

The fact that two different people are given the exact same name despite supposedly living over 1000 years apart in communities which spoke completely different languages (ancient paleo-hebrew and then syriac-aramiac), with different alphabets, also casts serious doubt on the precise historicity of the Qu'ranic account
 
Nani alikudanganya kuwa Muhammad Salma Allahu Alayhi Wasalam alikuwa anajuwa kuandika?
Tht's why he did not have his facts correct and here are some few examples from his book quran


Mary Confused with Miriam[edit]

Each of the following verses narrates the story of Jesus's birth. But Mary the mother of Jesus was born in the first century BCE and is not related to Moses and his family that existed 1500 years before. Miriam, not Mary, was the sister of Moses and Aaron and daughter of Amram (Imran).

At length she brought the (babe) to her people, carrying him (in her arms). They said: "O Mary! truly an amazing thing hast thou brought! O sister of Aaron! Thy father was not a man of evil, nor thy mother a woman unchaste!"

Qur'an 19:27-28

And Mary, the daughter of 'Imran, who guarded her chastity; and We breathed into (her body) of Our spirit;

Qur'an 66:12

Hence the claim that Mary's mother is the wife of Imran is also false.

Behold! a woman of 'Imran said: "O my Lord! I do dedicate unto Thee what is in my womb for Thy special service: So accept this of me: For Thou hearest and knowest all things." When she was delivered, she said: "O my Lord! Behold! I am delivered of a female child!"- and Allah knew best what she brought forth- "And no wise is the male Like the female. I have named her Mary, and I commend her and her offspring to Thy protection from the Evil One, the Rejected."

Qur'an 3:35-36

The fact that two different people are given the exact same name despite supposedly living over 1000 years apart in communities which spoke completely different languages (ancient paleo-hebrew and then syriac-aramiac), with different alphabets, also casts serious doubt on the precise historicity of the Qu'ranic account
 
Tatizo unanipa unanipa maandiko yaliyoko ndani ya qur'an ambayo yanaihalalisha kuwa imetoka kwa Mungu, hayo maneno hata binadamu anaweza kuyaandika mkuu kwann unahs binadamu hawez kuyaandika hayo maneno?
Juu huko umeambiwa kama huamini kuwa imetoka kwa Allah na ni binadam tu aliyeandika, na wewe si binadam? basi andika japo aya moja tu inayofanana nayo kama u mkweli, tena kusanyana na wenzako wote na ukiweza na mashetani waite wakusaidie mtupe aya moja tu inayofanana nayo, tena aya ndogo kabisa ya mistari midogo mitatu tu.

Mkishindwa utupe jibu kwanini mmeshindwa?
 
Utajua kwamba Biblia imeandikwa na Roho Mtakatifu kwa sababu zifuatazo:
1. Biblia haipingani
2. Mtiririko wa wazo ni mmoja ijapokuwa waandishi ni wengi walioishi vizazi tofauti, nchi tofauti, mahali tofauti karne tofauti.
3. Neno liiloandikwa lina unabii uliotimilika ingawa ulitolewa miaka mingi nyuma.
4. Neno la Mungu katika Biblia limekuwa na uwezo wa kubadili maisha ya watu wengi walipoiamini.

Zpo dini za kutengeneza na vitabu vya wanadamu kujitungia wenyewe na kuviita "Maandiko matakatifu", lakini si Biblia.

Nimesemea Biblia wenye vitabu vyao vingine wavisemee vya kwao.
 
Je baadhi ya concepts ambazo biblia imekuwa ikisema kuhusiana na ulimwengu na mwanadamu, mfano creation (uumbaji) hauna ushahidi nje ya biblia. Unasemaje hapo?

Pia kuna watu wengi maisha yao yamebadilika kupitia njia nyingine bila neno la Mungu.
Kuna kaukweli flani hivi..!
Ila naogopa kukoment huu uzi ngoja nipite kimya kimya.!
 
Yaani Mungu amestop now kufikisha ujumbe kwa watu???na hata alipokuwa akifikisha huo ujumbe alikuwa akiwapendelea watu wa far east tu na sio kwengine???mm sijui umeishi miaka mingapi hadi sasa hapa duniani...lkn sidhani km unawajua vizuri binadamu kiasi unaweza kuwaamini kila waachokiandika km ni sahihi na sio kwa maslahi yao wao...namaanisha hao waliochapisha au kuufikisha huo ujumbe wa Mungu...tunayo mifano hai hapa duniani marais wanavyoibia wapiga kura wao,majaji wanavyo hukumu watu kwa upendeleo nk
Duuuh mkuu wewe umemaliza kila kitu, THATS EXACTLY what this topic is all about. Nashukuru umeisummarize kwenye few lines. "...tunaaminije kwamba binadamu hawakuwa na uwezo wa kuandika vitabu hivi kwa uwezo wao binafsi" Asante sana brother.
 
Sioni sababu ya Mungu kutafuta njia ya kuwafikishia ujumbe wanadamu,kama ni kweli ameweza kuwaumba na kuiumba hii dunia na kila kilichomo ndani yake,basi ujue kumfikishia mwanadamu ujumbe ni jambo dogo mno kwake,halafu ujumbe wa nini wakati ww binadamu ni sawa tu na wanyama mbona wao hawana quran yao?
Hahahahaaaa we jamaa, u made my day aisee, hiyo ndio argument ya msingi sasa. Ngoja nilale na kulala. Asante sana brother.
 
Inawezekana kweli viliandaliwa na kuandikwa na watu
Swali linakuja hivi "ni wapi waliyatoa haya mawazo na yalilenga kitu gani hasa na kwa sababu zipi?"
Sasa hiyo ndo argument inayofuata baada ya wote kukubaliana kwamba hivi vitabu vilitengenezwa na binadamu kwa interests zao. Swali je? Ni nini lilikuwa dhumuni la kufanya ivo? Kwann waandike vitabu biblia na qur'an na vingine ambavyo sivijui na kuwaaminisha watu kwamba ni maneno ya Mungu? Kwann? What was a reason?
 
Naamini Mungu yupo, na ndo ametujaalia akili na utashi wa kupambanua mambo. Mara zote linapokuja suala la kuhoji origin ya hivi vitabu vitakatifu, viongozi wetu wa dini wanakimbilia neno moja tu, "AMINI", Kwamba tuamini kwamba hivi ni vitabu vitakatifu vya mwenyezi Mungu.

Kwenye biblia tunaambiwa iliandikwa na watu KWA MWONGIZO WA ROHO MTAKATIFU, swali langu ni je? Mimi nikikaa mezani kwangu nikaanza kuandika kitabu, wewe uliyeko jirani yangu utajuaje kwamba ninachoandika ni kwa uwezo wa roho mtakatifu au kwa uwezo wangu mwenyewe. Nikisema kwamba kuna group la watu kwa interest zao, waliamua kuanzisha hiyo project na wakaihalalisha kwa kusema ni neno la Mungu na tuliamini nakosea?

Mimi sio Muislam, hivyo sijui sana kuhusu origin ya Qur'an but, naskia kwamba Qur'an ilishushwa kutoka mbinguni, sijui ni ushahidi gani uliopo wa kuthibitisha hilo au pengine ni dhana ambayo imelalia kwenye imani zaidi. Lakini nikisema kuna watu walitengeneza hayo yote na ili kuyahalalisha wakayaweka chini ya miliki ya Mungu, nitakuwa nakosea.

Tafadhali, usiniambie niamini, nipe sababu za msingi za kwanini nisiamini kuwa biblia na qur'an hazikutengenezwa na kundi flani la watu kwa manufaa yao.

Nafikiri ugetumia akili kidogo ya kuonyesha japo sehemu ndogo tu ktk quran kua kwahili nafikri hii quran ni mazao ya fikra ya watu, pia labda nikufahamishe hizo fikra au mawazo yako sio mapya and is not a challenges kwa sasa kwani ni mawazo ya zamani yaliozeeka na potofu kwa nini wakati tu Mtume Muhammad (saw) anashushiwa quran tarehe 7/12/610 AD aliulizwa na mapagani walio kuwepo pale, MAWAZO AU FIKRA HIZO HIZO ulizo nazo wewe leo 2016, na jibu likaja hapohapo kutoka kwa Allah.
Quran: chapter 2 :23 Said:-
"And if ye are in doubt as to what we (Allah and his majestic) have revealed, from time to time on our servant( Muhammad),
Then( you) produce a sura( chapter) like thereunto:
And call your witness or helpers(if there are any) beside God, if your(doubts) are true,"

Kwa hiyo ndungu hayo mawazo yamepitwa na wakati na kama ungeliisoma quran wala usinge poteza MB zako kwa kuleta Doubts juu ya quran bali ungekuja na jibu ya hiyo changamoto (challenge) alio iweka Allah hapo toka 610 AD mpaka leo hakuna hata mtu mmoja alio weza kuleta hata Aya( verse) moja tu inayo fanana na quran
 
Yaani Mungu amestop now kufikisha ujumbe kwa watu???na hata alipokuwa akifikisha huo ujumbe alikuwa akiwapendelea watu wa far east tu na sio kwengine???mm sijui umeishi miaka mingapi hadi sasa hapa duniani...lkn sidhani km unawajua vizuri binadamu kiasi unaweza kuwaamini kila waachokiandika km ni sahihi na sio kwa maslahi yao wao...namaanisha hao waliochapisha au kuufikisha huo ujumbe wa Mungu...tunayo mifano hai hapa duniani marais wanavyoibia wapiga kura wao,majaji wanavyo hukumu watu kwa upendeleo nk

Umedhihirisha ujuha wako , katika vitabu vilivyotajwa post namba moja ni kipi kimetokea Far East?

Unazidi kuhakikisha kuwa shule ulienda kusomea ujinga.
 
Juu huko umeambiwa kama huamini kuwa imetoka kwa Allah na ni binadam tu aliyeandika, na wewe si binadam? basi andika japo aya moja tu inayofanana nayo kama u mkweli, tena kusanyana na wenzako wote na ukiweza na mashetani waite wakusaidie mtupe aya moja tu inayofanana nayo, tena aya ndogo kabisa ya mistari midogo mitatu tu.

Mkishindwa utupe jibu kwanini mmeshindwa?
Kwani aya ni nn hadi iwe a big deal kuiandika??watu wanaandika novel Hardley Chase sembuse aya moja tu...tena basi aya zenyewe km ndio km zile za muhammad alipanda farasi wake mweupe mwenye mabawa akampeleka hadi mbingu ya saba njiani akakutana na musa,ibrahim adam na yesu hahahaha hizo nakuandikia hata elfu moja ukitaka pembeni nina ganja zng kadhaa utanikubali tu aisee
 
Back
Top Bottom